SINGINDA WAPOTEZA,YANGA UBINGWA WANUKIA

IKIWA Uwanja wa Liti, Singida Big Stars imeshuhudia pointi tatu zikisepa mazima kuelekea kwa wapinzani wao Yanga. Ubao umesoma Singida Big Stars 0-2 Yanga huku kazi ikimalizwa kipindi cha kwanza. Mabao ya Aziz KI na Clement Mzize yameipa Yanga pointi tatu na wanafikisha pointi 71 kibindoni wakielekea kutetea ubingwa wa ligi. Mchezo ujao dhidi ya…

Read More

ZAMA ZA AZAM FC NA SIMBA ZILIKUWA NGUMU

ZAMA za Obrey Chirwa ndani ya Azam FC walipokutana na Simba ilikuwa kazi kubwa kumzuia kwa mabeki wakiogozwa na Joash Onyango. Mechi zao zote wanapokutana uwanjani huwa sio nyepesi na kwenye ligi msimu huu Azam FC wamesepa na pointi nne huku Simba wakisepa na pointi moja. Kwa sasa Chirwa yupo zake ndani ya Ihefu akipambania…

Read More

SINGIDA BIG STARS 0-2 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Liti unasoma Singida Big Stars 0-2 Yanga ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara, mzunguko wa pili. Singida Big Stars imeshuhudia mabao yakifungwa kipindi cha kwanza cha mchezo huo ambao unafuatiliwa na mashabiki wengi duniani. Ni Aziz KI alipachika bao la kwanza kwa shuti kali ambalo lilimpoteza mlinda mlango Benedickt Haule…

Read More

MWAMBA WA LUSAKA NGOMA NZITO MSIMBAZI

CLATOUS Chama kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba anapitia kipindi kigumu cha mpito kutokana na kasi yake ya kufunga kugota kwa muda mrefu akipitisha dakika 663. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele anayekipiga Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Kwenye mechi 8 za ligi ambazo alipata nafasi ya kucheza Chama hakufunga kituo kinachofauata…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA SINGIDA BIG STARS

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Singida Big Stars unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti. Mei 4, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu ambazo Singida Big Stars nao wanazihitaji pointi hizo. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua uimara wa wapinzani wao…

Read More