MECHI DUME CITY NA ARSENAL INAPIGWA LEO

MECHI dume kabisa, mechi ya kibabe na mechi ya kibingwa inapigwa leo pale Dimba la Etihad, wana wanakwambia mshindi wa leo anaasilimia kubwa ya kuwa bingwa wa Premier League msimu huu. Leo Jumatano Manchester City chini ya Kocha Pep Guardiola itaikaribisha Arsenal kwenye Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England ambao unatarajia…

Read More

HAALAND YUKO NJIANI KUTENGENEZA REKODI YAKE

MSHAMBULIAJI wa Manchester City Erling Haaland yuko njiani kutengeneza rekodi zake binafsi bora zaidi katika historia ya Premier League. Haaland ana umri wa miaka 22 tu na tayari amezoea ligi na nchi mpya kwa haraka sana sasa anafurahia msimu wake wa kwanza bora akiwa na Man City chini ya Kocha Pep Guardiola. Man City bado…

Read More

Kasino ya Mtandaoni Inakupa Mkwanja kwa Njia Hizi

Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa ushindi kirahisi kupitia sloti ya Titan Dice ambayo ni moja ya michezo inayotoa hela ndefu kirahisi. Michezo ya Dice (kete) imekuwepo kwa muda mrefu kihistoria, mchezo huu ulianzia China ambapo waandaaji wa kisasa, Expanse Studios wametengeneza sloti ya Titan Dice kukumbusha uzuri wa mchezo huu. Kasino ya Mtandaoni ya…

Read More

MWAMBA WA LUSAKA ANAJITAFUTA

CLATOUS Chama ni namba moja kwenye kutengeneza pasi za mwisho kwenye ligi akiwa nazo 14 kibindoni na ametupia mabao matatu kwenye nyavu za wapinzani bado anajitafuta kwa sasa. Kwenye msimamo Simba ipo nafasi ya pili na vinara ni watani zao wa jadi Yanga. Ngoma ni nzito kwenye kufunga na kutoa pasi za mwisho kwenye mzunguko…

Read More

BALEKE, MAYELE WAINGIA KWENYE VITA HII NGUMU

MITAMBO ya mabao kwenye timu zenye ngome pale Kariakoo, Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira na Yanga inayonolewa na Nasreddine Nabi wameingia kwenye vita nyingine kimataifa. Ni ile ya kupambania timu zao kutinga hatua ya nusu fainali kwenye mashindano ya kimataifa ambayo wanashiriki kwa kukamilisha dakika 90 za ushindi kwenye mechi za robo fainali….

Read More