LILE PIRA DUBAI LA SAMBA LOKETO LILIPIGWA NA NYUNDO

ILIKUWA mwendo wa msako wa pointi tatu kwa timu zote mbili ambazo msimu wa 2022/23 zimekuwa zikionyeshana ubabe haswa ndani ya dakika 90. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliviera iliyotamba kuja na pira Samba Loketo liligongwa nyundo kinomanoma na Mbeya City inayonolewa na Adallah Mubinu. Mchezo wa fungua mwaka 2023 kwa Simba na mchezo…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI RUVU SHOOTING

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Mchezo huo awali ulitarajiwa kuchezwa Januari 21 lakini umepelekwa mbele mpaka Januari 23,2023 Uwanja wa Mkapa. Kamwe amebainisha kuwa wanatambua mchezo huo utakuwa mgumu lakini wapo tayari kupata ushindi. “Moja ya…

Read More

SIMBA WAWAFUATA DODOMA, MAKAO MAKUU

KIKOSI cha Simba kimewasili Dodoma,makao makuu ya Tanzania leo Januari 20,2023. Chini ya Kocha Mkuu, Robert Oliviera kikosi hicho kilianza safari mapema leo mchana kutoka Dar. Mchezo huo utakuwa ni wa pili kwa Oliviera baada ya ule wa kwanza kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 3-2 Mbeya City. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo…

Read More

MATAJIRI WA DAR AZAM FC KAZI INAENDELEA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars, wakulima wa Alizeti. Timu hiyo imetoka kushinda mchezo wao uliopita na inakutana na Singida Big Stars ambayo nayo imeshinda mchezo wake uliopita. Singida ilishinda bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar ikiwa ugenini, Uwanja…

Read More