>

AZAM FC MOTO NI ULEULE

MOTO wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala hauzimi kwa kuwashusha waliokuwa namba Simba na sasa wao wapo juu. Baada ya ubao wa Uwanja wa Majaliwa kusoma Namuongo 0-1 Azam FC, pointi tatu wamesepa nazo jumlajumla. Inafikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 13 ndani ya ligi kwa msimu wa 2022/23 na Simba…

Read More

VALENCIA AWEKA REKODI HII KOMBE LA DUNIA

MWAMBA Enner Valencia ameandika rekodi yake ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Wakati ubao wa Uwanja wa Al Bayt ukisoma Qatar 0-2 Ecuador ni Valencia alipachika mabao yote mawili ilikuwa dakika ya 16 kwa mkwaju wa penalti na dakika ya 31. Bao lake la dakika ya tatu lifutwa baada…

Read More

SHABIKI WA SIMBA ASHINDA M 11 NA 10BET

SHABIKI wa Klabu ya Simba na Liverpool ya England Richard Mkumbo ameshinda Sh11 milioni kupitia jackpot ya katikati ya wiki ya kampuni ya 10 bet Tanzania. Mkumbo ambaye ni mkazi wa Singida ameshinda kiasi hicho cha fedha baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 10 za ligi mbalimbali duniani kwa sh 500 tu.  Ameweka kibindoni Sh11…

Read More

MANE NDO BASI TENA QATAR

STAA wa Senegal, Sadio Mane ambaye anakipiga ndani ya Bayern Munich jitihada za kumrejesha kwenye ubora zimegonga mwamba. Ni rasmi kuwa winga huyo mwenye kipaji cha kweli hatakuwa kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza michuano ya Kombe la Dunia, Qatar. Sababu kubwa ni majeraha ya mguu ambayo aliyapata akiwa na timu yake ya Bayern Munich hivi…

Read More

KIUNGO YANGA APEWA TUZO YA MCHEZAJI BORA

KIUNGO Khalid Aucho wa Klabu ya Yanga, amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kutoka nchini Uganda. Aucho mwenye miaka 29 amefanikiwa kushinda tuzo hiyo baada ya kuwashinda wapinzani wake katika kinyang’anyiro hicho. Kiungo huyo amefanikiwa kuwashinda kipa wa Mamelodi Sundowns, Dennis Masinde Onyango mwenye miaka 37 na mshambuliaji wa Vipers Yunus Sentamu mwenye…

Read More

USHINDI MEZANI NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET!

Kama iliivyo ada,  Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa, Odds kubwa na Bonasi kibao. Meridianbet inakuletea mchezo bomba wenye miondoko ya kizamani unaojulikana kama Titan Roulette. Mchezo huu uliotengenezwa na watenganezaji wa michezo ya kasino Expanse Studios unapatikana kwenye Kasino ya Mtandoni ya Meridianbet. Titan Roulette ni mchezo wenye miondoko ya kizamani na wenye…

Read More

BANDA KUIKOSA TIMU NGUMU RUVU SHOOTING

KIUNGO wa Simba Peter Banda ataukosa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting kwa kuwa bado hajawa fiti. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda ameweka wazi kuwa maandalizi ya mchezo huo yamekamilika na wanatambua wanakwenda kukutana na timu ngumu. “Kila kitu kuhusu mchezo wetu dhidi ya Ruvu Shooting…

Read More