>

SIMBA WAZINDUA JEZI ZA KOMBE LA SHIRIKISHO

Klabu ya Simba leo Februari 10, 2022 imezindua rasmi jezi mpya ambazo zitakuwa zinatumika kwenye michuano ya kimataifa ambayo klabu hiyo ipo hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. “Leo tunaonyesha jezi yetu ya michuano ya kimataifa ikiwa na logo ambayo inazingatia mambo yote ya utalii. Jezi zitaanza kuuzwa kesho kwenye maduka ya Vunja…

Read More

BODI YA LIGI KUU BARA YAFUNGUKIA HATMA YA GSM

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Bara, Steven Mnguto, ameibuka na kusema licha ya wadhamini wenza Kampuni ya GSM kutangaza kujiondoa katika udhamini lakini hakuna klabu yoyote iliyolipwa. Kauli hiyo imekuja ikiwa ni siku moja tangu GSM watangaze kujiondoa kudhamini klabu za ligi ambazo awali waliingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh 2.1Bil….

Read More

SIMBA YAWAITA YANGA KUWASAPOTI CAF

UONGOZI wa Simba umewakaribisha mashabiki wa timu mbalimbali ikiwemo Yanga kuwaunga mkono katika mchezo wao wa hatua ya makundi ya Kombe la ShirikishoAfrika dhidi yaASEC Mimosas kutoka Ivory Coast, unaotarajiwa kufanyika Februari 13, katika Uwanja wa Mkapa, Dar. Simba inatarajiwa kucheza mchezo huo ambao ni wa kwanza wa Kundi D ambapo timu nyingine ambazo zipo…

Read More

YANGA WAZITAKA POINTI ZA MTIBWA SUGAR

KIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, Dickson Ambundo amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar. Yanga wana kazi ya kusaka pointi mbele ya Mtibwa Sugar ambao watakuwa kwao huku wakiwa na kumbukumbu ya kuishuhudia Simba ikitoka suluhu ilipokwenda kucheza huko hivi karibuni. Katika msimamo…

Read More

MO APIGA HESABU ZA UBINGWA KIMATAIFA SIMBA

MWEKEZAJI katika Klabu ya Simba, Mohammed Dewji, ‘Mo’ amesema kilicho mpeleka kambini leo ni mapenzi yake kwa Simba na amekutana na viongozi wachezaji kwa ajili ya kuwapa hamasa kuelekea mchezo dhidi ya ASEC ya Ivory Coast. Mo ameweka wazi kuwa malengo makubwa kwa Simba ni kuweza kuona inafanya vizuri kitaifa na kimataifa kwa kubeba makombe…

Read More

MORRISON BADO HAJAANDIKA BARUA KAMA ALIVYOELEKEZWA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mpaka sasa haujapokea barua ya mchezaji wao Bernard Morrison kama ambavyo alielekezwa kufanya hivyo kabla ya kusimamishwa. Februari 4,2022 Simba ilitoa taarifa rasmi ya kumsimamisha Morrison kwa kile kilichoelezwa kuwa ni sababu ya utovu wa nidhamu. Ofisa Habari wa Simba,Ahmed Ally amesema:”Tulimsimamisha Morrison kutokana na tuhuma za nidhamu ambazo…

Read More

SALAH APANIA KULIPIZA KISASI KWA SENEGAL

MOHAMED Salah, staa wa timu ya taifa ya Misri amewasisitiza wachezaji wenzake kwamba watakwenda kulipiza kisasi mbele ya Senegal. Ikumbukwe kwamba Salah alikuwa kwenye kikosi cha Misri kilichotinga fainali ya Afcon 2021 na kupoteza kwa kufungwa kwa penalti 4-2 baada ya dakika 120 kumeguka mazima. Ni Sadio Mane wa Senegal ambaye alikosa penalti katika muda…

Read More

HESABU ZA TANZANIA KUSHIRIKI KOMBE LA DUNIA HIZI HAPA

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mohamed Mchengerwa amesema Tanzania inatarajia kushiriki kwenye mashindano ya Kombe la Dunia baada ya kumalizika mashindano ya mwaka huu 2022 yatakayofanyika Qatar kutokana na mikakati kabambe ya maandalizi inayoendelea hivi sasa. Mchengerwa amesema hayo Februari 8, 2022 jijini Dar es Salaam kwenye halfa iliyoandaliwa na ubalozi wa Qatar, kuadhimisha siku…

Read More

KASINO YA MERIDIANBET INAKUPATIA FURSA YA KUTENGENEZA PESA KUPITIA JAKIPOTI YA KISASA!

Kwa muda mrefu, Kasino ya Meridianbet imekuwa ni sehemu moja yenye neno moja la kipekee – Jakipoti za Kasino! Hii hainakikomo, wameendelea kufanya hivyo hadi mwaka 2022. Sikia hii, mteja mmoja wa Kasino ya Meridianbet amejishindia €15,616 baada ya kushinda jakipoti kwenye Sloti ya Secrets of Alchemy. Mwanzo mzuri kwa mwezi Februari! Hii ni maana…

Read More