>

AZAM FC:UWANJA WA KARUME UNA HALI MBAYA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Karume, Mara huku tatizo kubwa likitajwa kuwa ni ubora wa uwanja. Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa tatizo kubwa waliloliona kwa sasa ni Uwanja wa…

Read More

MBAPPE ATUPIA USIKU MBELE YA REAL MADRID

KYLIAN Mbappe staa wa Klabu ya PSG aliweza kuwatungua bao la ushindi Real Madrid katika mchezo wa UEFA Champions League hatua ya 16 bora. Ilikuwa dakika ya 90+4 nyota huyo aliweza kupachika bao hilo katika mchezo huo wa kwanza uliokuwa mkali mwanzo mwisho. PSG katika Uwanja wa Parc des Princes waliweza kupiga jumla ya mashuti…

Read More

MASTAA SITA WA SIMBA KUIKOSA RUVU SHOOTING

MASTAA sita wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ikiwa ni pamoja na Sadio Kanoute, Pape Sakho leo Februari 16 wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 16 bora Uwanja wa Mkapa. Kanoute na Sakho waliumia kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas ambao ulikuwa ni wa Kombe la Shirikisho na Simba iliibuka…

Read More

TWAHA ASAINI DILI LA KUPANDA ULINGONI KUZICHAPA

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Twaha Kiduku Jumanne ya Februari 15 amesaini mkataba wa kupanda ulingoni kuzichapa dhidi ya Alex Kabangu kutoka DR Congo katika pambano litakalopigwa Machi 26, mwaka huu katika Ukumbi ambao utapangwa mkoani hapa. Kiduku atapanda ulingoni kwenye pambano hilo la kimataifa baada ya kumchakaza Dullah Mbabe Agosti mwaka jana katika…

Read More

MANCHESTER CITY YAPIGA MKONO HUKO

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City usiku wa kuamkia leo ameshuhudia vijana wake wakisepa na ushindi mnono katika mchezo wa raundi ya 16, UEFA Champions League. Timu hiyo ambayo inaongoza Ligi Kuu England iliibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Sporting katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Jose Alvalade. Ni mabao ya Riyad Mahrez…

Read More

FT: YANGA 2-1 BIASHARA UNITED

BAADA ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Kombe la Shirikisho umesoma Yanga 2-1 Biashara United. Mabao yote yamefungwa kipindi cha kwanza katika mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. Ni Yannick Bangala alianza kupachika bao la kuongoza na bao la pili likafungwa na Fiston Mayele. Kwa upande wa Biashara…

Read More

YANGA 2-1 BIASHARA UNITED

MCHEZO wa Kombe la Shirikisho unaoendelea Uwanja wa Mkapa Yanga ipo mbele kwa mabao 2-1 dhidi ya Biashara United. Ni Yannick Bangala alipachika bao la kuongoza na lile la pili lilipachikwa na Fiston Mayele. Collins Opare alipachika bao kwa Biashara United wanajeshi wa mpakani.

Read More

WIKI BOMBA UCL NA USHINDI WA MERIDIANBET

Wiki hii inakuwa tamu zaidi kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Mbappe akiwa anakutana na klabu yake pendwa anayo husishwa nayo zaidi ya Real Madrid. Meridianet wana mzigo wako kwenye gemu hii. Messi atakuwa akitazamwa zaidi kwenye gemu hii, ambayo kutokana na muda wake na Barcelona ni kama amekuwa na upinzani wa kudumu na Real Madrid…

Read More

KIMATAIFA:SIMBA 1-0 ASEC MIMOSAS

BAO la Pape Sakho dakika ya 12 linawafanya Simba kuelekea katika vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa mbele. Ni mchezo wa kwanza hataua ya makundi ambapo ni msako wa pointi tatu muhimu. Itabidi wajilaumu wenyewe ndani ya dakika 45 kwa kukosa nafasi tatu za wazi ambazo wametengeneza kwa kushindwa kuzibadili kuwa mabao. Nafasi moja ilikoswa na…

Read More

CHELSEA FULL SHANGWE NA KOMBE MKONONI

CHELSEA ni mwendo wa furaha baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Palmeiras kwenye fainali ya Klabu bingwa dunia na kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa ngazi ya Klabu. Mabao ya Chelsea yalifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 54 na lile la ushindi lilifungwa na Kai Havertz dakika ya 117 kwa mkwaju wa…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA ASEC MIMOSAS

LEO Februari 13 kikosi cha Simba kinartarajiwa kusaka ushindi dhidi ya ASEC Mimosas kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Aishi Manula Shomari Kapombe Mohmaed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Jonas Mkude Peter Banda Sadio Kanoute Meddie Kagere Rally Bwalya Sakho Akiba Ally Israel Gadiel Wawa Nyoni Mzamiru Bocco…

Read More

KOCHA SIMBA:TUPO TAYARI KIMATAIFA LEO

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Simba ikiwa kundi D leo itatupa karata yake ya kwanza katika mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na timu nyingine itakazocheza nazo ni pamoja na RS…

Read More

NABI AKOMAA KUUNDA PACHA MPYA YA MAYELE

IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, usiku na mchana anapambana kutengeneza uwiano wa Fiston Mayele, Heritier Makambo na Yusuf Athumani ili aweze kuwatumia pamoja. Licha ya Yanga kuendelea kuwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, ikiwa na pointi zake 36, ambazo imezikusanya baada ya kucheza mechi 14, imefunga mabao…

Read More

ASEC MIMOSAS SIO WANYONGE,WATUMA UJUMBE HUU SIMBA

LICHA ya kubainisha kwamba wanatambua wapo ugenini mbele ya Simba lakini wameweka wazi kwamba hawatakuwa wanyonge bali watacheza kwa umakini kusaka ushindi leo Uwanja wa Mkapa. Julien Chevalier,Kocha Mkuu wa ASEC Mimosas alisema kuwa aliwafuatilia Simba katika mechi za ligi ya mabingwa Afrika na kuona uwezo wao. “Simba ni timu kubwa nimeifuatilia na tumeona kwamba…

Read More

SIMBA FANYENI KWELI LEO KIMATAIFA

SIMBA SC, leo Jumapili inatarajiwa kuvaana na ASEC Mimosas katika mchezo wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar es Saalam. Huu utakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Simba katika hatua hii ikiwa ni timu pekee ya Tanzania katika michuano hiyo. Simba imekuwa na historia nzuri katika michuano hiyo ya kimataifa kwa siku za karibuni, tunaamini kuwa wataendakufanya kweli kuanzia mchezo wa leo…

Read More