LEO LIGI KUU BARA RATAIBA HII HAPA
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Machi 7 ikiwa ni mzunguko wa 17. Ruvu Shooting itamenyana na Biashara United saa 8:00 mchana ni Uwanja wa Mabatini. KMC wao watamenyana na Coastal Union pale Azam Complex ngoma itakuwa saa 10:00 jioni. Simba SC itakuwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Dodoma Jiji, saa 1:00 usiku.