>

LEO LIGI KUU BARA RATAIBA HII HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Machi 7 ikiwa ni mzunguko wa 17. Ruvu Shooting itamenyana na Biashara United saa 8:00 mchana ni Uwanja wa Mabatini. KMC wao watamenyana na Coastal Union pale Azam Complex ngoma itakuwa saa 10:00 jioni. Simba SC itakuwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Dodoma Jiji, saa 1:00 usiku.

Read More

BIASHARA YA INONGA ILIKUWA NAMNA HII

BEKI wa Simba, Henock Inonga,Uwanja wa Mkapa alikuwa na biashara yake uwanjani mbele ya Biashara United kwenye mchezo wa ligi wakati Simba ikishinda kwa mabao 3-0. Aliweza kutumia jumla ya dakika 65 na kutolewa kutokana na kupata maumivu lakini aliacha biashara ya msako wa pointi tatu ukiwa umekamilika kwa kuwa Simba ilikuwa tayari imeshatupia mabao…

Read More

YANGA NDANI YA DAR

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Machi 7 kimewasili salama Dar baada ya kuanza safari mapema leo wakitokea Mwanza. Jana Machi 6,2022 Yanga ilikuwa kwenye msako wa pointi tatu na ilishinda kwa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Bao la ushindi lilipachikwa…

Read More

KAPOMBE KUIKOSA DODOMA JIJI KWA MKAPA

BEKI bora katika kazi ngumu na chafu uwanjani Shomari Kapombe leo Machi 7,2022 anatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji. Kapombe aliumia katika mchezo uliopita mbele ya Biashara United na alikwama kuyeyusha dk 90 badala yake alitumia dk 30. Aliweza kutoa pasi mbili za mabao yaliyofungwa na Pape Sakho pamoja na Mzamiru Yassin….

Read More

YANGA KURUDI DAR NA FURUSHI LA POINTI

BAADA ya kikosi cha Yanga kusepa na pointi tatu mazima mbele ya Geita Gold Machi 6,2022 leo wanarejea Dar kikiwa na furushi la pointi kibindoni. Bao pekee la ushindi lilijazwa kimiani na Fiston Mayele dakika ya 1 na lilidumu mpaka kipyenga cha mwisho. Ushindi huo unaifanya Yanga iridium kujenga ngome kileleni ikiwa na pointi 45…

Read More

YANGA YAITUNGUA GEITA GOLD

Heritier Makambo, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mchezo wao wa leo dhidi ya Geita Gold ulikuwa ni muhimu kwao kupata pointi tatu muhimu. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanna wa CCM Kirumba umesoma Geita Gold 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi limefungwa na Fiston Mayele ilikuwa dakika ya kwanza na liliweza kudumu mpaka dakika…

Read More

MAPUMZIKO: GEITA GOLD 0-1 YANGA

UWANJA wa CCM Kirumba, ubao unasoma Geita Gold 0-1 Yanga ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kasi ilianza kipindi cha kwanza ambapo Yanga walifanya majaribio mawili ambayo yalikuwa na hatari lakini ni moja liliweza kuzama nyavuni. Ni Fiston Mayele alipachika bao hilo mapema dakika ya kwanza kutokana na safu ya ulinzi ya Geita Gold…

Read More

NABI KOCHA BORA FEBRUARI

Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameteuliwa kuwa kocha bora wa Februari ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa Kamati ya Tuzo ya Shirikisho la Soka Tanzania,  (TFF) iliyokutana Jumamosi ilimchagua  Nabi. Nabi ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Fred Minziro wa Geita Gold na Thiery Hitimana wa KMC. Kwa Februari Yanga iliifunga Kagera Sugar mabao…

Read More

TASHOKA YATEKELEZA KWA VITENDO YALIPO KWENYE KALENDA

CHAMA cha Mchezo wa Karate Tanzania (TASHOKA) kinaendelea kutekeleza kwa vitendo matukio katika kalenda yake ya Mwaka 2022 iliyoitoa hivi karibuni. Kwa mujibu wa Kalenda hiyo Kuanzia Februari 12 mpaka April 16 mwaka huu kunafanyika semina elekezi kwa wakufunzi wote wa vilabu Vya Tashoka pia kunafanyika kozi ya urefa wa Karate Grade D,C na B….

Read More

NTIBANZOKIZA APEWA TUZO YA MCHEZAJI BORA

SAID Ntibanzokiza, Kiungo wa Yanga ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Tanzania imeeleza kuwa nyota huyo amechaguliwa na Kikao cha Kamati kilichokutana Dar Jumamosi. Kwenye mechi za ligi aliweza kutupia mabao mawili na kuhusika katika mabao matatu. Leo Yanga ina…

Read More

WATANO WA YANGA KUIKOSA GEITA GOLD

NYOTA watano wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo wanatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi dhidi ya Geita Gold. Ni Jesus Moloko, Djuma Shaban pamoja na Khalid Aucho ambao hawa hawapo fiti kuweza kuanza mchezo wa leo. Aucho inaripotiwa kwamba amepata majeraha huku Djuma akitajwa kuwa na Mlaria na Moloko yeye ni…

Read More

MDAMU APEWA ZAWADI YA USHINDI,AZAM YAPOTEZA

WACHEZAJI wa Polisi Tanzania walimpa zawadi ya ushindi mchezaji wao Gerald Mdamu kwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mdamu yupo nje ya uwanja kwa muda akitibu mguu ambao aliumia baada ya kupata ajali walipokuwa wakitoka mazoezini na timu ya Polisi Tanzania. Ni bao la Kassim…

Read More

IHEFU YAPOTEZA MBELE YA DTB CHAMPIONSHIP

KLABU ya DTB inayoshiriki Championship leo Machi 5 imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu FC ya Mbeya. Ilikuwa ni mchezo mmoja wa kukata na shaka uliowakutanisha vigogo hawa wanaopewa nafasi kubwa ya kuweza kushiriki Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Bao pekee la ushindi lilifungwa na Ally Ally wa Ihefu ambaye ni…

Read More