SIMBA:RS BERKANE WAMEKUJA WAKATI MBAYA,MUGALU AREJEA
AHMED Ally Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa wapinzani wao wamewakuta wakiwa kamili kutokana na wachezaji wote kuwa tayari kwa mchezo huo. Simba itamenyana na RS Berkane ya Morocco katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 13. Ally amesema:”Taarifa ya awali kuhusu majeruhi ni kuwa Hassan Dilunga…