VINARA WA LIGI KUU BARA NDANI YA MTWARA

 BAADA ya ushindi ambao wameupata mbele ya Tanzania Prisons kikosi hicho kimeibukia Mtwara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mtupiaji akiwa ni Feisal Salum dakika ya 89 na kuipa ushindi timu hiyo. Sasa Yanga ni vinara wa ligi wakiwa wamecheza mechi 14 n kibindoni wana pointi 35 wanakutana na Namungo ambayo…

Read More

YANGA WAWAPIGISHA KWATA WAJELAJELA

MOJA ya mchezo bora uliokamilika kwa Yanga kuitungua Tanzania Prisons dakika ya 89 bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Prisons ambao wnanolewa na Patrick Odhiambo nidhamu ya kujilinda ilikuwa kubwa dakika 45 za mwanzo huku umakini kwenye safu ya ushambuliaji ukiwa ni mdogo kwao. Pongezi kwa kipa wa Prisons Abel ambaye umakini wake kwenye kulinda lango…

Read More

KIKOSI CHA PRISONS DHIDI YA YANGA

 HIKI hapa kikosi cha Tanzania Prisons kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa:- Hussein Abel Ezekiel Mwashilindi Ibrahim Abraham Jumnne Elifadhili Yusuph Mlipili Omary Omary Salum Kimenya Ismail Mgunda Jermeia Juma Oscar Paul Edwin Balua

Read More

NGOMA NZITO NYANKUMBU, NTIBANZOKIZA ALA UMEME

JASHO la wanaume kwenye msako wa pointi tatu Uwanja wa Nyakumbu limegotea kwa kila mmoja kusepana pointi mojamoja. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Geita Gold 2-2 Mtibwa Sugar. Said Ntibanzokiza alipachika bao la kuongoza dakika ya 34 kwa mkwaju wa penalti na alitoa pasi moja ya bao kwa Juma Luizio dakika ya 45+4 Kwa…

Read More

HIVI HAPA VIGONGO VYA SIMBA DESEMBA

MWEZI wa shughuli huu hapa Desemba ambapo kila timu zina vigongo vya kazi kukamilisha mwaka 2022 na kuukaribisha 2023. Simba nao wana kazi kubwa kusaka pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza kusaka pointi tatu. Kete za Simba ni 6 ambazo ni dakika 540 tayari wameshayeyusha 90 ndani ya uwanja.Vigongo viwili pekee watakuwa nyumbani na vigongo…

Read More

HIZI HAPA ZA YANGA DESEMBA, NABI KUIBUKIA KWA MKAPA

BAADA ya kufungiwa mechi tatu kwa kosa la kumshambulia kwa maneno mwamuzi wa kati na wapembeni Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ataibukia kwenye Uwanja wa Mkapa mchezo dhidi ya Coastal Union. Yanga ndani ya Desemba ina vigongo 7 ambapo Nabi kafungiwa kwenye mechi tatu kutokana na kosa hilo hicyo ni Cedric Kaze, kocha msaidizi…

Read More

SUAREZ: INAUMA KUSEMA KWAHERI KOMBE LA DUNIA

STAA wa Timu ya Taifa ya Uruguay, Luis Suarez amesema kuwa inauma kusema kwaheri Kombe la Dunia. Nyota huyo hakuwa na chaguo baada ya timu hiyo kuondolewa mazima kwenye hatua ya makundi licha ya kupata ushindi kwenye mchezo wa mwisho. Uruguay waliinyoosha mabao 2-0 Ghana kwenye mchezo wa makundi na kukusanya pointi tatu lakini walikwama…

Read More

SAKA KUWAKABILI SENEGAL

NYOTA wa timu ya taifa ya England, Bukayo Saka anatarajiwa kuanza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa leo dhidi ya timu ya taifa ya Senegal. Huu ni mcheza kwanza kwa timu hizi mbili kukutana kwenye Kombe la Dunia na rekodi zinaonyesha kuwa hawajawahi kumenyana hata kwenye mchezo wa kirafiki. Ikumbukwe kwamba nyota huyo ambaye anakipiga…

Read More

PELE AWATOA HOFU KUHUSU AFYA YAKE

LEGEND kwenye ulimwengu wa soka ambaye anatajwa kuwa mchezaji bora wa muda woteraia wa Brazil Pele amewaomba mashabiki na wale wanaomfuatilia wasiwe na mashaka kuhusu afya yake. Nyota huyo kupitia mitandao ya kijamii ameandika ujumbe ambao unaeleza kwamba anaendelea vizuri na matibabu anaamini atarejea kwenye ubora wake. Pele alipelekwa hospitali ya Sao Paulo tangu Jumanne…

Read More