Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ambaye ni mmiliki wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) leo Desemba 23, 2022 ameachia wimbo wake mpya wa Chitaki.
DIAMOND PLATNUMZ – CHITAKI (OFFICIAL AUDIO & LYRIC VIDEO)

Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania ambaye ni mmiliki wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) leo Desemba 23, 2022 ameachia wimbo wake mpya wa Chitaki.