SIMBA QUEENS YAGAWANA POINTI NA YANGA PRINCESS

NYOTA Vivian Corazone Aquino ambaye alianza kusugua benchi kwenye dabi ya Wanawake limetosha kuipa pointi moja Simba Queens ilikuwa dakika ya 59. Baada ya dakika 90 kukamilika kwenye mchezo wa leo Desemba 22,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba Queens 1-1 Yanga Princess. Vivian aliweka mzani sawa kipindi cha pili na kufuta bao matata…

Read More

YANGA KAZI INAENDELEA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameweka wazi kuwa mzunguko wa pili utatoa dira ya wao kufanikisha malengo ya kutetea taji hilo. Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora wa kupata matokeo licha ya kupoteza mchezo mmoja kati ya 17 ilipotunguliwa na Ihefu mabao 2-1. Kwa sasa ipo kwenye maandalizi kuelekea kwenye mchezo wao dhidi…

Read More

GEITA GOLD KASI YAO DAKIKA 180 IMEKUWA NGUMU

BAADA ya kucheza mechi 17, Geita Gold wanafikisha kibindoni jumla ya pointi 23 ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 7 huku Azam FC ikiwa nafasi ya tatu na kibindoni ina pointi 38 na zote zipo ndani ya 10 bora kweye ligi. Ndani ya daika 180 kwenye mechi mbili wakiwa nyumbani wamekwama…

Read More