
HIZI HAPA TIMU ZITAKAZOMENYANA HATUA YA RAUNDI YA PILI
JANA droo ya raundi ya Pili ya Kombe la Azam Sports Federation Cup ilichezwa ambapo mabingwa watetezi wa taji hilo Yanga waliwatambua wapinzani wao. Mechi hizo zinatarajiwa kuanza kuchezwa Disemba 9-11, 2022 ambapo Yanga itamenyana na Kurugenzi FC kwa upade wa watani zao wa jadi Simba wao watamenyana na Eagle. Kwa upande wa Azam FC wao…