
VIDEO:MZARAMO ATEMA CHECHE,ATAJA MABAO YA MAYELE YA MCHONGO
MZARAMO Simba atema cheche, ayazungumzia mabao ya Mayele
MZARAMO Simba atema cheche, ayazungumzia mabao ya Mayele
MOTO wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala hauzimi kwa kuwashusha waliokuwa namba Simba na sasa wao wapo juu. Baada ya ubao wa Uwanja wa Majaliwa kusoma Namuongo 0-1 Azam FC, pointi tatu wamesepa nazo jumlajumla. Inafikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 13 ndani ya ligi kwa msimu wa 2022/23 na Simba…
MWAMBA Enner Valencia ameandika rekodi yake ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Wakati ubao wa Uwanja wa Al Bayt ukisoma Qatar 0-2 Ecuador ni Valencia alipachika mabao yote mawili ilikuwa dakika ya 16 kwa mkwaju wa penalti na dakika ya 31. Bao lake la dakika ya tatu lifutwa baada…
NINI unbeaten? Mgunda kiboko ya Nabi, Ongala, takwimu zake zinatisha, majembe manne Yanga kuikosa Dodoma Jiji, ndani ya Championi Jumatatu
Wikiendi hii Meridianbet imeshuhudia bingwa na mshindi wa simu mpya aina ya Samsung Z Flip 4, ambaye ameibuka kidedea katika promosheni ya 1 Click 2Phone iliyokuwa ikiendeshwa na Meridianbet. Ungependa kufahamu zaidi juu ya ushindi wake? soma hapa! Promosheni ya 1 Click 2 phone imedumu kwa kipindi cha mwezi mmoja kwa wateja wapya waliojisajili…
SALEH Jembe atoboa siri Simba kumsajiri Manzoki,amtaja kocha mpya Simba, wachezaji wakuachwa Simba
SHABIKI wa Klabu ya Simba na Liverpool ya England Richard Mkumbo ameshinda Sh11 milioni kupitia jackpot ya katikati ya wiki ya kampuni ya 10 bet Tanzania. Mkumbo ambaye ni mkazi wa Singida ameshinda kiasi hicho cha fedha baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 10 za ligi mbalimbali duniani kwa sh 500 tu. Ameweka kibindoni Sh11…
Ile Michuano mikubwa kwenye ulimwengu wa Soka dunia inaanza kutimua vumbi Novemba 20/2022, ambapo mwenyeji Qatar atacheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Equador kwenye Kundi A, lenye miamba wengine kama Senegal na Uholanzi. Haya hapa machaguo spesho kwenye mechi hizi. Itakuwaje pale ambapo timu unayoishabikia itapata matokeo mazuri, huku na wewe ukipata matokeo mazuri…
STAA wa Senegal, Sadio Mane ambaye anakipiga ndani ya Bayern Munich jitihada za kumrejesha kwenye ubora zimegonga mwamba. Ni rasmi kuwa winga huyo mwenye kipaji cha kweli hatakuwa kwenye orodha ya wachezaji watakaocheza michuano ya Kombe la Dunia, Qatar. Sababu kubwa ni majeraha ya mguu ambayo aliyapata akiwa na timu yake ya Bayern Munich hivi…
KIUNGO Khalid Aucho wa Klabu ya Yanga, amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kutoka nchini Uganda. Aucho mwenye miaka 29 amefanikiwa kushinda tuzo hiyo baada ya kuwashinda wapinzani wake katika kinyang’anyiro hicho. Kiungo huyo amefanikiwa kuwashinda kipa wa Mamelodi Sundowns, Dennis Masinde Onyango mwenye miaka 37 na mshambuliaji wa Vipers Yunus Sentamu mwenye…
STRAIKA Simba aukubali mziki wa Yanga, watatu Simba wachomolewa kikosini ndani ya Championi Jumamosi
Kama iliivyo ada, Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa, Odds kubwa na Bonasi kibao. Meridianbet inakuletea mchezo bomba wenye miondoko ya kizamani unaojulikana kama Titan Roulette. Mchezo huu uliotengenezwa na watenganezaji wa michezo ya kasino Expanse Studios unapatikana kwenye Kasino ya Mtandoni ya Meridianbet. Titan Roulette ni mchezo wenye miondoko ya kizamani na wenye…
KIUNGO Shiza Kichuya ameweka wazi kuwa mashabiki bado wanaamini kuwa bado ni mchezaji wa timu hiyo licha ya kwamba hayupo ndani ya kikosi hicho na hana ugomvi na Simba kwa kuwa hakutoka kwa mabaya
KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kesho kati ya Simba v Ruvu Shooting, Juma Mgunda Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa maandalizi yapo sawa huku kiungo Clatous Chama akiwa ni miongoni mwa nyota ambao wapo tayari kwa mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa
KICHAPO cha mabao 4-1 ambacho walikipata Singida Big Stars dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa kimemfanya Kocha Mkuu wa Singida Big Stars, Hans Pluijm kukiri kuwa ilikuwa siku mbaya kazini
KIUNGO wa Simba Peter Banda ataukosa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting kwa kuwa bado hajawa fiti. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda ameweka wazi kuwa maandalizi ya mchezo huo yamekamilika na wanatambua wanakwenda kukutana na timu ngumu. “Kila kitu kuhusu mchezo wetu dhidi ya Ruvu Shooting…