
SIMBA GARI LIMEWAKA
SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda gari limewaka ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania, Uwanja wa Ushirika,Moshi
SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda gari limewaka ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania, Uwanja wa Ushirika,Moshi
BAADA ya kusepa na pointi tatu mbele ya Mbeya City,Novemba 26,2022 Uwanja wa Mkapa kituo kinachofuata ni Highland Estate. Yanga ilishinda mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City na mtupiaji wa mabao yote mawili alikuwa ni Fiston Mayele ambaye anafikisha mabao 10. Mayele alipachika bao la uongozi kwa pasi ya Khalid Aucho na lile bao la…
GHANA imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Korea Kusini kwenye mchezo wa Kombe la Dunia ambao unatajwa kuwa mmoja ya mchezo bora kutokea mwaka huu 2022 Qatar. Nyota wa Ghana mwenye miaka 22 na siku 118 , Mohammed Kudus anakuwa staa wa pili kutoka Afrika mwenye umri mdogo kufunga mabao mawili kwenye Kombe…
ANGALAU timu ya taifa ya Cameroon imepata matumaini ya kutinga hatua ya 16 bora Kombe la Dunia Qatar lakini itakutana na kigogo kizito Ijumaa dhidi ya Brazil. Sare ya kufungana mabao 3-3 dhidi ya Serbia inawapa nguvu ya kupambana mchezo ujao licha ya kwamba walikuwa na nafasi ya kushinda mchezo wa leo. Ni Jean-Charles Castelletto…
KWENYE orodha ya nyota watatu wa Simba ambao wameingia fainali ya kuwania mchezaji bora chaguo la mashabiki ndani ya Novemba kiungo Mzamiru Yassin jina lake limepenya pia. Wengine wawili ambao anapambana nao ni pamoja na Shomari Kapombe ambaye ni beki wa kazi pamoja na kiungo mgumu Sadio Kanoute. Kikosi hicho jana Novemba 27,2022 kilikuwa na…
MWANZO siku zote ni wakati wa kutengeneza mwisho kwenye mpango kazi ambao unafanyika hivyo kwa sasa ni maandalizi kwa ajili ya kukamilisha ligi msimu wa 2022/23. Tunaona kuna timu ambazo ushindani wake umekuwa ni wa kawaida wakiamini kwamba wataendelea kucheza ligi hii muda wote hata msimu ukiisha. Kwa wale ambao wanafikiria hivyo kwa sasa ni…
MAJINA matano yatakayopewa mikataba ndani ya kikosi cha Yanga yamependekezwa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi
ALPHONSO Davies ameweka rekodi yake ya kuwa nyota wa kwanza kufunga bao la mapema zaidi kwenye Kombe la Dunia Qatar 2022. Ilikuwa dakika ya 2 alipachika bao hilo lakini halikutosha kuipa pointi tatu timu yake kwa kuwa baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Khalifa ulisoma Croatia 4-1 Canada. Kwenye kundi F, Canada imetolewa…
MABAO matano yamekusanywa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Azam FC na Coastal Union. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 3-2 Coastal Union. Coastal Union walianza kupata bao la utangulizi dakika ya 14 kupitia kwa Betrand Ngafei lilidumu mpaka muda wa mapumziko. Kipindi cha pili…
Siku ni Jumatatu na Jumanne wakati ambao wengi wanakuwa kwenye mihangaiko ya kutafuta chochote kitu, ili mkono uende kinywani, sikia mdau! Meridianbet hawakuachi ukateseka, msimu huu wa kombe la dunia wanakupa machaguo special kwa ODDS kubwa na Bomba, kikubwa ni wewe kubeti bila kuchoka tena ukibeti kwa kitochi dau lako la chini tu TZS 250/=…