>

YANGA YAIPIGA 4G SINGIDA BIG STARS

FISTON Mayele nyota wa Yanga amefikisha mabao 6 kibindoni baada ya leo kufunga hat trick kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars. Dakika 90 zimekamilika kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 4-1 Singida Big Stars ikiwa ni ushindi mkubwa kwa Yanga kuupata wakiwa nyumbani msimu huu. Bao lingine la…

Read More

SIMBA YAMTAMBULISHA KOCHA WA VIUNGO

RAMSI Kelvin Mandla kutoka Afrika Kusini ametambulishwa kuwa  kocha wa viungo (Fitness Coach). Kabla ya kocha huyo Simba haikuwa na kocha wa viungo baada ya aliyekuwa kweye nafasi hiyo kuondoka. Anakuwa kocha wa pili kutambulishwa kwenye benchi la ufundi ndani ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda. Novemba 15,2022 Simba ilimtamulsha kocha wa makipa…

Read More

ALIYEWATULIZA KAGERA SUGAR NI BODABODA

CLEMENT Mzinze nyota wa Yanga aliyezima ndoto za Kagera Sugar ya Mecky Maxime kutibua rekodi ya timu hiyo kutofungwa ni dereva bodaboda na fundi ujenzi. Nyota huyo alifunga bao pekee ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba uliposoma Kagera Sugar 0-1 Yanga dakika ya 18 akitumia pasi ya Feisal Salum. Mshambuliaji huyo amesema:-“ “Nimezaliwa Tanga nina…

Read More

ISHU YA MATOLA KUSEPA SIMBA UONGOZI WABARIKI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umetoa baraka zote kwa kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola kuondoka. Matola anatarajiwa kuanza masomo ya masuala ya ukocha ambapo anatafuta Leseni A itakayompa fursa ya kuwa kocha mkuu kwenye timu yoyote. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa…

Read More

MATAIFA YALIYOIPELEKA YANGA KIMATAIFA

MATAIFA matatu yalifanya kazi kubwa kuipaisha Yanga kimataifa na kuipeleka kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Ni kupitia bao pekee la ushindi la Aziz Ki raia wa Burkina Faso ambaye alifunga bao hilo dakika ya 79 akitumia pasi ya Fiston Mayele raia wa DR Congo. Ikumbukwe kuwa kabla ya bao kupatikana lilipita kwenye…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Novemba 17,2022 inatarajiwa kuendeea kwa timu kuyeyusha dakika 90 msako wa pointi tatu muhimu. Ihefu ya Mbeya itawakaribisha Polisi Tanzania mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate, Mbeya. Mbeya City ya Mbeya itawakaribisha Kagera Sugar, Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Yanga ya Dar itawakaribisha Singida Big Stars, Uwanja wa Mkapa, Dar…

Read More

KIUNGO WA KAZI ANAREJEA TARATIBU AZAM FC

KIUNGO Abdul Suleiman, ‘Sopu’ ameanza kurejea kwenye ubora wake baada ya kuwa nje kwa muda akitibu majeraha yake. Ingizo hilo jipya kutoka Coastal Union hajawa kwenye mwendo bora ndani ya Azam FC kwa kuwa mudamwingi anatumia akiwa nje ya uwanja. Kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting wakati Azam FC ikishinda bao 1-0 alionyesha…

Read More