YANGA YASAINI MKATABA WA MIEZI SITA NA UNICEF
KLABU ya Yanga imeingia mkataba wa miezi sita na Shirika la Umoja wa Mataifa la Unicef kwa ajili ya kutoa elimu na kuwapa taarifa Watanzania kuhusu Corona na namna ya kujikinga na kuchukua tahadhari kuhusu Ebola. Injinia Hersi Said Rais wa Yanga amesema kuwa ni furaha kubwa kwa ajili ya timu hiyo kuingia makubaliano na…