>

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V de AGOSTO

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda leo Oktoba 16,2022 kinatupa kete yake kimataifa dhidi ya de Agosto ya Angola.

Hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza namna hii:-

Aishi Manula

Israel Mwenda

Mohamed Hussein

Joash Onyango

Henock Inonga

Sadio Kanoute

Pape Sakho

Mzamiru Yassin

Moses Phiri

Clatous Chama

Okra