SHABIKI wa Simba amebainisha kuwa kikosi cha Simba ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda kimekuwa na mwendo mzuri jambo ambalo linamfanya azidi kukizoea kikosi hicho licha ya kutokuwa anakijua vema na kubainisha kuwa Mgunda ni kocha mzuri apewe muda