>

SIMBA KUCHEZA MECHI ZA KIMATAIFA

BAADA ya kuongoza kikosi cha Simba kwenye mechi mbili za ligi na kushinda zote, Zoran Maki, Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukiongoza kikosi hicho kwenye mechi za kimataifa za kirafiki ambapo wanatarajia kucheza na Asante Kotoko ya Ghana. Ni kwenye mashindan maalumu ambayo Simba wamealikwa yanatarajiwa kufanyika nchini Sudan wakialikwa na Klabu ya Al Hilal….

Read More

TEPSI NDANI YA STARS, KIM ATOA NENO

TEPSI Evance, kiungo wa Klabu ya Azam FC amejumuishwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambacho kimeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo dhidi ya Uganda wa kuwania kufuzu CHAN unaotarajiwa kuchezwa Agosti 28,2022. Nyota huyo kwenye mechi mbili za ligi amefunga mabao mawili na kutoa pasi moja ya bao. Stars imeingia…

Read More

MAN UNITED YAICHAPA LIVERPOOL

 MANCHESTER United imesepa na pointi tatu mazima mbele ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Traford. Mabao ya Jadon Sancho dakika ya 16 na Marcus Rashford yalitosha kuipa pointi tatu muhimu timu hiyo. Bao la Liverpool lilifungwa na Mohamed Salah dakika ya 81. Rekodi zinaonyesha kuwa United ilipiga jumla ya…

Read More

WACHEZAJI NI MUDA WA KULINDANA WENYEWE

KUCHANGAMKA kwa mzunguko wa kwanza na wa pili kwenye ligi kumetokana na maandalizi mazuri ambayo yalifanywa na timu husika hilo halipingiki. Kwa timu ambazo zilikwama kupata matokeo hapo kuna sehemu ya kuangalia namna ya kuweza kuboresha na kuwa bora wakati ujao. Katika mechi za mzunguko wa kwanza na wa pili inaonekana kwamba wachezaji wanatumia nguvu…

Read More

KAGERA SUGAR:TUTAREJEA TUKIWA IMARA

FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amebainisha wazi kuwa makosa ambayo wameyafanya kwenye mechi mbili mfululizo watayafanyia kazi ili waweze kurejea wakiwa imara. Timu hiyo kwenye mechi mbili za ligi msimu wa 2022/23 imeyeyusha pointi sita mazima kwa kuwa ilifungwa kwenye mechi hizo. Ilianza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC, Uwanja wa…

Read More

NABI AOMBA WACHEZAJI WAPEWE ULINZI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kuna umuhimu wa waamuzi kuweza kuwalinda wachezaji kwenye mechi zote ambazo wanacheza. Kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Agosti 20,2022 wakati ubao ukisoma Coastal Union 0-2 Yanga kiungo Jesus Moloko alikwama kukamilisha dakika 90. Kiungo huyo alitoka dakika ya 25 nafasi yake ikachukuliwa…

Read More

KOCHA NABI AFUNGUKIA ISHU YA MANZOKI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa kwa sasa hawana mpango wa kuweza kumsajili mchezaji mwingine wa kigeni kama ambavyo imekuwa ikielezwa. Jina la nyota Cesar Manzoki ambaye ni mali ya Vipers SC ya Uganda limekuwa likitajwa kuweza kumalizana na Yanga kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu wa 2022/23. Pia mshambuliaji…

Read More

SAKA KINACHOSUBIRIWA NI SAINI YAKE TU

BOSI wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kuwa hatma ya mkataba wa winga wa timu hiyo Bukayo Saka itafahamika hivi karibuni. Saka amekuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Arsenal ambapo kocha wa timu hiyo anapambana kusuka kikosi upya. Winga huyo mkataba wake wa awali unamalizika Juni 2024 kikosini hapo. Timu za Manchester United, Manchester City na…

Read More

OLEKSANDR USYK V ANTHONY JOSHUA II: MUINGEREZA AJ ASHINDWA KATIKA JARIBIO LA KUTWAA TAJI YA UBINGWA WA DUNIA

Jitihada za Muingereza Anthony Joshua kunyakua tena mataji ya uzito wa juu yaliyounganishwa ya dunia yalimalizika kwa mafadhaiko huku Oleksandr Usyk akitoa matokeo mazuri na kushinda kwa uamuzi wa uliowagawanya waamuzi huko Jeddah, Saudi Arabia. Katika pambano lililoitwa ‘Rage on the Red Sea’, Joshua aliyekuwa na ukakamavu, mwenye umri wa miaka 32, alionyesha nia ya…

Read More