WAAMUZI WAKUTANA NA RUNGU

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) katika kikao cha Agosti 26 ilipitia mwenendo wa matukio mbalimbali na kufanya maamuzi huku waamuzi wakifungiwa na wengine kupewa onyo. Ni Raphael Ikambi aliyekuwa mwamuzi wa kati mchezo wa Coastal Union 0-2 Yanga uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Ikambi…

Read More

YANGA WAJA NA MBINU TOFAUTI DHIDI YA AZAM FC

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha kuwa watabadilika kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 6,2022. Mchezo huo unakuwa ni kwanza kwa Yanga kucheza ikiwa nyumbani baada ya kucheza mechi mbili kwenye mechi za ugenini. Nabi amesema:”Michezo ijayo ya ligi hatutacheza sawa na ile ya ugenini kwani tutakuwa…

Read More

BADO HATUJAMALIZA NDIO KWANZA LIGI ZIMEANZA, MIKEKA YAKO INASOMAJE?

Ligi mbalimbali zinaendelea tena wiki hii, na meridianbettz bado kuna pesa za kutosha kukupatia wewe mshindi.   EPL bado ni ya moto sana wiki hii tutashuhudia mechi nyingi zikipigwa viwanja tofauti. Jummane hii Southampton waliotoka kupoteza mechi iliyopita watakipiga na Chelsea ambao wametoka kushinda mechi iliyopita. Meridianbet wameipa nafasi kubwa ya ushindi Soton kwa odds…

Read More

MASTAA WATATU WAWANIA TUZO SIMBA

MASTAA watatu wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki wametajwa kwenye kipengele cha kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month). Tuzo hizo zimerejea kwa mara nyingine tena baada ya ligi kukamilika kwa msimu wa 2021/22 na mabingwa kuwa Yanga huku Simba wakiwa ni washindi…

Read More

KISIKI YAKWAA BARCELONA KUMNASA KIUNGO CITY

 PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amebainisha kuwa kiungo Bernardo Silva hatajiunga na Barcelona kwa sababu mpaka sasa hakuna mbadala wake. Kocha huyo amebainisha kuwa mchezaji huyo ni kiungo wa kipekee ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England hivyo timu hiyo inakutana na kisiki kupata saini ya mwamba Silva. Nyota Silva alikuwa kwenye…

Read More

WACHEZAJI STARS WAKATI MWINGINE KUJITOA

MCHEZO wa kwanza umekishwa na kila mmoja ameambulia maumivu hasa baada ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Uganda. Haikuwa siku nzuri kwa mashabiki na wachezaji pia kutokana na malengo ambayo walikuwa wanatarajia kushindwa kutimia. Uwanja wa Mkapa mbele ya mashabiki wao Stars ilikwama kuibuka na ushindi…

Read More

MAYELE ABAINISHA KUWA MSIMU UTAKUWA MGUMU

MSHAMBULIAJI namba moja wa Yanga, Fiston Mayele ameweka wazi kuwa msimu wa 2022/23 utakuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kufanya vizuri. Nyota huyo msimu wa 2021/22 alitupia mabao 16 na pasi nne kwenye ligi huku namba moja akiwa ni George Mpole ambaye alitupia mabao 17 na pasi nne. Nyota huyo ameweka wazi…

Read More

MAN U YAINGIA ANGA ZA DEPAY

MANCHESTER United inatajwa kuwania saini ya mshambuliaji wa Barcelona, Memphis Depay ili kuwanaye ndani ya kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu England.  Wanatajwa kuweka mezani kiasi ch pauni 8.4 milioni ili kuweza kumnasa mshambuliaji huyo. Msimu wa 2021/22 nyota huyo ndani ya La Liga alitupia mabao 12 akiwa ni kinara wa utupiaji ndani ya Barcelona. Awali…

Read More

BREAKING:AZAM FC YAACHANA NA MAKOCHA WAO

UONGOZI wa Azam FC umefikia makubaliano ya kuachana na makocha wao wawili kwenye majukumu ya kuinoa timu hiyo hivyo watabadilishiwa majukumu. Taarifa rasmi iliyotolewa na Azam FC imeeleza namna hii:”Tumefikia makubaliano ya pande mbili na kocha wetu, Abdihamid Moallin, na msaidizi wake, Omary Nasser, kuachia ngazi kama kocha mkuu na msaidizi mtawalia. “Hata hivyo, makocha…

Read More

SIMBA YACHEKELEA USHINDI

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata mbele ya Asante Kotoko walistahili na kama wagekuwa makini zaidi wangeshinda kwa mabao mengi. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki imealikwa kwenye mashindano maalumu nchini Sudan ambayo yameandaliwa na Klabu ya Al Hilal. Mchezo wao wa kwanza Simba ilishinda mabao 4-2 huku…

Read More

NABI:HAITAKUWA KAZI RAHISI KUTWAA UBINGWA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ushindani kwenye ligi ni mkubwa jambo ambalo linawafanya wazidi kujipanga kwa mechi zao. Yanga ni mabingwa watetezi wa taji la ligi ambalo walitwaa msimu wa 2021/22 kutoka mikononi mwa watani zao wa jadi Simba. Timu hiyo imecheza mechi mbili na kukusanya pointi sita, ilishinda mabao 2-1…

Read More

KOCHA LIVERPOOL ABADILI MAAMUZI

KLABU ya Liverpool imeweka dau la pauni milioni 60 kuinasa saini ya kiungo wa Barcelona, Frenkie de Jong. Mpango wa timu hiyo ni kuinasa saini ya nyota huyo ili aweze kutua ndani ya Anfield kwa ajili ya kucheza mechi za Ligi Kuu England pamoja na mashindano mengine. Jurgen Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool amebadili mawazo…

Read More

SIMBA YAANZA KWA USHINDI UGENINI KIMATAIFA

 MCHEZO wa kwanza wa kirafiki nchini Sudan kwenye mashindano maalumu ambayo Simba kutoka Tanzania imealikwa na Al Hilal wameibuka na ushindi wa mabao 4-2 Asante Kotoko. Kipa namba moja kwenye mchezo huo alikuwa Ally Salim ambaye alibeba mikoba ya Aishi Manula na Beno Kakolanya ambao wapo kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa…

Read More