Home Sports DAKIKA 90 ZA KIUNGO WA SIMBA QUEENS MARIAN

DAKIKA 90 ZA KIUNGO WA SIMBA QUEENS MARIAN

WAKATI Simba Queens wakitwaa Ubingwa wa Ligi ya Wanawake CAF kwa ukanda wa CECAFA na kukata tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake, kati kuna kiungo wa kazi chafu anaitwa Mariam Nasri.

Tupo naye kwenye mwendo wa data nyota huyu wa Simba Queens dakika zake 90 mbele ya She Coprote katika mchezo wa fainali Uwanja wa Azam Complex Agosti 27,2022:-

Dakika-90

Kadi ya njano 1 dakika ya 44

Piga faulo-3

Alipiga mashuti yaliyolenga lango-2

Aliokoa hatari kwenye lango la Simba 2

Aligusa mpira kwa kichwa -2

Alikokota mpira mara 4

Alitoa pasi kwa mguu wa kulia-50

Alitoa pasi kwa mguu wa kushoto-9

Aligusa mpira kwa kifua mara 1

Alicheza faulo mara 2

Previous articleSAUTI:INATAJWA BEKI WA SIMBA ONYANGO ATAIBUKIA SINGIDA BIG STARS
Next articleKOCHA WA MABINGWA WA LIGI YA MABINGWA ULAYA AONYA