KOCHA NABI AFUNGUKIA ISHU YA MANZOKI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa kwa sasa hawana mpango wa kuweza kumsajili mchezaji mwingine wa kigeni kama ambavyo imekuwa ikielezwa. Jina la nyota Cesar Manzoki ambaye ni mali ya Vipers SC ya Uganda limekuwa likitajwa kuweza kumalizana na Yanga kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu wa 2022/23. Pia mshambuliaji…

Read More

SAKA KINACHOSUBIRIWA NI SAINI YAKE TU

BOSI wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kuwa hatma ya mkataba wa winga wa timu hiyo Bukayo Saka itafahamika hivi karibuni. Saka amekuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Arsenal ambapo kocha wa timu hiyo anapambana kusuka kikosi upya. Winga huyo mkataba wake wa awali unamalizika Juni 2024 kikosini hapo. Timu za Manchester United, Manchester City na…

Read More

OLEKSANDR USYK V ANTHONY JOSHUA II: MUINGEREZA AJ ASHINDWA KATIKA JARIBIO LA KUTWAA TAJI YA UBINGWA WA DUNIA

Jitihada za Muingereza Anthony Joshua kunyakua tena mataji ya uzito wa juu yaliyounganishwa ya dunia yalimalizika kwa mafadhaiko huku Oleksandr Usyk akitoa matokeo mazuri na kushinda kwa uamuzi wa uliowagawanya waamuzi huko Jeddah, Saudi Arabia. Katika pambano lililoitwa ‘Rage on the Red Sea’, Joshua aliyekuwa na ukakamavu, mwenye umri wa miaka 32, alionyesha nia ya…

Read More

KANE AWEKA REKODI LIGI KUU ENGLAND

 MSHAMBULIAJI wa Tottenham, Harry Kane ameweka rekodi yake wakati timu hiyo ikishinda bao 1-0 dhidi ya Wolves kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa jana. Kane alivunja rekodi ya Aguero kwa kufikisha mabao 185 na kuwa mchezaji ambaye amefunga mabao mengi akiwa na timu moja ndani ya Ligi Kuu England. Nyota huyo amebeba tuzo ya…

Read More

WACHEZAJI STARS KAZI IPO KUIKABILI UGANDA

MAJINA ya wachezaji wa timu ya Taifa ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya kujiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa Afrika, (CHAN) dhidi ya Uganda yameshawekwa wazi. Nyota 25 ambao wameitwa kazi yao kubwa ni kuweza kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa ili waweze kupata matokeo chanya katika mchezo huo. Imani kubwa ni kuona…

Read More

MAKAMBO NA BERNARD MORRISON WANA KAZI YAO MAALUMU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amesema kuwa wachezaji wake, Mghana Bernard Morrison na Mkongomani, Heritier Makambo, wana kazi maalum za kimbinu na kiufundi katika kikosi chake.  Nabi amesema kuwa wachezaji hao anawatumia kama ‘Super Sub’ ambao kazi yao ni kwenda kuwazuia mabeki na viungo wakabaji wa timu pinzani kupanda. Nabi amesema kuwa anapenda…

Read More