>

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA COASTAL UNION

MBELE ya Coastal Union kwenye mchezo wa fainali leo Julai 2,2022 kiungo Zawad Mauya ataanzia benchi pamoja na Mshery,Yassin,Bacca,Moloko,Kaseke,Nkane,Makambo na Ambundo. Kikosi cha kwanza ni Diarra Djigui Djuma Shaban Farid Mussa Dickson Job Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Kahlid Aucho Sure Boy Feisal Salum, Chico Ushindi Fiston Mayele

Read More

YACOUBA KUIKOSA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

WAKATI wakiwa kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union, Yanga itakosa huduma ya mshambuliaji wao mmoja. Ni Yacouba Songne ambaye amekuwa nje kwa muda mrefu baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Kwa mujibu wa Kocha Msaidizi wa Yanga,Cedrick…

Read More

KOCHA COASTAL UNION ATUMA UJUMBE HUU YANGA

 JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa wanatambua kwamba leo wana mchezo mgumu wa fainali dhidi ya Yanga lakini wachezaji wake wanajua nini ambacho wanahitaji. Coastal Union ilitinga hatua hii kwa ushindi mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Coastal Union ilishinda kwa…

Read More

KOCHA GEITA GOLD AFUNGUKIA MPOLE KUTUA SIMBA

KOCHA Mkuu wa kikosi cha Geita Gold, Fred Felix Minziro, ameweka wazi kuwa ni kweli kuna uwezekano mkubwa wakampoteza straika na nahodha wa kikosi chao, George Mpole ambaye anatajwa kupokea ofa kutoka klabu za Simba na Yanga. Mpole amekuwa miongoni mwa wachezaji ambao wako kwenye nafasi kubwa ya kuondoka ndani ya kikosi cha Geita Gold…

Read More

SALAH AJIFUNGA LIVERPOOL

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Liverpool na Timu ya Taifa ya Misri Mohamed Salah ameongeza mkataba mpya wa miaka mitatu wa kuendelea kubakia katika klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya mersesyde. Salah amesaini mkataba huo unaotarajiwa kumalizika majira ya kiangazi mwaka 2025 huku akipokea kitita cha Paundi 350,000 ambayo ni sawa na zaidi ya Milioni…

Read More

KOCHA GEITA AFUNGUKA MPOLE KUTUA SIMBA, YANGA

KOCHA Mkuu wa kikosi cha Geita Gold, Fred Felix Minziro, ameweka wazi kuwa ni kweli kuna uwezekano mkubwa wakampoteza straika na nahodha wa kikosi chao, George Mpole ambaye anatajwa kupokea ofa kutoka klabu za Simba na Yanga. Mpole amekuwa miongoni mwa wachezaji ambao wako kwenye nafasi kubwa ya kuondoka ndani ya kikosi cha Geita Gold…

Read More

YANGA KESHO KUIVAA COASTAL UNION

 NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mchezo wa kesho wa hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union utakuwa mgumu lakini wapo tayari. Yanga inakwenda kumenyana na Coastal Union ikiwa imetwaa taji la Ligi Kuu Bara na pointi zake 74. Imeweza kutwaa taji hilo ikiwa haijapoteza na kesho inakwenda kupambana kusaka taji lingine la…

Read More

KIUNGO MNIGERIA ASAINI AZAM FC

AZAM FC leo Julai Mosi wameufungua mwezi kwa kumtamulisha nyota mpya kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Ni kiungo mkabaji kutoka Nigeria, Isah Ndala ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili. Ndala alikuwa akichezea Plateau ya Nigeria, amesaini mkataba mbele ya mmiliki wa timu, Yusuf Bakhresa na Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA NDANI YA ARDHI YA DAR

KIKOSI cha Simba leo kimewasili salama Dar kikitokea Songea ambapo kilikuwa na mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya Kwanza. Sima chini ya Kocha Msaidizi Selaman Matola ilitoshana nguvu bila kufungana na Mbeya Kwanza katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Majimaji,Songea. Matola amesema kuwa kukamilika kwa msimu huu wa 2021/22 ni mwanzo wa…

Read More

KIUNGO ANDAMBWILE ASAJILIWA SINGIDA BIG STARS

 RASMI mabosi wa Singida Big Stars wameweza kumtambulisha nyota mpya katika kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao. Anaitwa Aziz Andambwile ambaye alikuwa akitajwa kuwaniwa pia na Klabu ya Namungo inayotumia Uwanja wa Ilulu. Ni kiungo mwenye uwezo wa kucheza nafasi tofauti tofauti uwanjani. Mchezaji kijana, mzawa, msomi, mpambanaji wa kweli akiwa na timu yake…

Read More

UJUMBE WA BANGALA NA DJUMA KWA COASTAL UNION HUU HAPA

YANNICK Bangala na Djuma Shaban mabeki wa Yanga wameweka wazi kwamba kesho watapambana mbele ya Coastal Union kwenye mchezo wa fainali Kombe la Shirikisho. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba na kufanikiwa kutinga hatua ya fainali. Kesho inatarajiwa kukutana na Coastal Union kwenye mchezo wa…

Read More