NATHANIEL CHILAMO ATAMBULISHWA AZAM FC

NI beki wa kulia, Nathaniel Chilambo ambaye alikuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Ruvu Shooting amepata changamoto mpya. Hivyo bei huyo msimu ujao wa 2022/23 atakuwa na uzi wa Azam FCpale viunga vya Azam Complex. Chilambo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuweza kuitumikia timu hiyo ambayo inauhakika wa kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika baada ya…

Read More

NAMNA SIMBA ITAKAVYOMREJESHA LUIS

KLABU ya Simba, ipo kwenye wakati mzuri wa kumrudisha kikosini hapo kiungo mshambuliaji raia wa Msumbiji, Luís Jose Miquissone kutoka Al Ahly ya Misri. Hiyo ni baada ya Luis kuwa na wakati mgumu ndani ya Al Ahly tangu alipojiunga na timu hiyo Agosti 26, 2021 akisaini mkataba wa miaka minne akitokea Simba. Baada ya Al…

Read More

HUU HAPA WASIFU WA MGOMBEA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS JANGWANI

JULAI 9,2022 wanachama wa Yanga kupitia wawakilishi wao ambao ni viongozi kutoka kwenye matawi wanatarajia kufanya uchaguzi kwa ajili ya kumpata Rais,Makamu wa Rais pamoja na Wajumbe watano. Huu hapa ni wasifu wa mgombea nafasi ya Makamu wa Rais ambapo ni Suma Mwaitenda WASIFU: (Taaluma na Kazi) -Mkadiriaji Majenzi (Quantity Surveyor) -Msimamizi wa Miradi (Project…

Read More

BEKI WA SIMBA INONGA AWEKA REKODI YAKE

BEKI wa Simba,Henock Inonga ndani ya msimu wa 2021/22 ameweka rekodi yake ya kuwa mchezaji pekee aliyeonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja kwa wale waliopenya kwenye orodha hiyo wakiwa wapo watatu. Kesho kwenye ukumbi wa Rotana Hotel tuzo za Bodi ya Ligi zinatarajiwa kutolewa ambapo moja ya tuzo ambayo inatazamwa kwa ukaribu ni hii iliyokuwa mikononi…

Read More

UPEPO WA USAJILI UNAHITAJI UMAKINI MKUBWA

IKIWA umetulia kwa sasa na kutazama upepo ambavyo upo lazima utasikia kuhusu namna ambavyo kila mwenye nguvu anaingia sokoni kusaka kile ambacho anakihitaji. Huu ni upepo mzuri hasa kwa kila mmoja kupata kile ambacho anakitaka muda huu wa kufanya maandalizi ya usajili kwa wachezaji ambao wanahitajika. Wapo wachezaji ambao wameshapewa mkono wa kwa heri mapema…

Read More