AZAM FC :TUMEKUWA NA MSIMU MBAYA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa umekuwa na msimu mbaya ndani ya 2021/22 kutokana na kushindwa kupata matokeo wanayohitaji kwenye mechi zake.  Chini ya Kocha Mkuu, Abdi Hamid Moallin juzi ikiwa Uwanja wa Sokoine ubao ulisoma Mbeya City 2-1 Azam FC na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Msemaji wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema…

Read More

ISHU YA TAMMY KURUDI ENGLAND NGOMA NZITO

IMEELEZWA kuwa mshambuliaji wa kikosi cha AS Roma, Tammy Abraham yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya kikosi cha Arsenal kinachoshiriki Ligi Kuu England huku bosi wake akiweka wazi kwamba hadhani kama anaweza kurudi huko. Roma ilimsajili Tammy msimu uliopita akitokea Chelsea na ilikuwa ni baada ya Kocha Mkuu Jose Mourinho kujiunga na timu hiyo….

Read More

MAYELE AMPA JEURI MPOLE, ATOA TAMKO LA KUPAMBANA ZAIDI

STAA wa Klabu ya Geita Gold FC, George Mpole amesema kuwa siri iliyopo nyuma ya uwezo wake mkubwa wa kufunga kwenye ligi msimu huu ni ubora wa washambuliaji na wachezaji wakigeni ambao wamekuwa wakitesa kwenye ligi ya Tanzania. Mpole alisema, wachezaji hao wamekuwa wakimpa chachu ya kuendelea kupambana zaidi akiwa uwanjani ili kuweza kupambania nao…

Read More

KISA SURE BOY, YANGA WAMCHENJIA NABI

BAADA ya mashabiki wa Yanga kuja juu kupinga mabadiliko ya kumtoa Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ na kuingia Heritier Makambo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mtunisia Nasreddine Nabi ameibuka na kutaja sababu ya kumtoa nyota huyo. Tukio hilo la aina yake lilitokea mara baada ya Nabi kufanya mabadiliko hayo akitafuta ushindi wakati timu yake ilipovaana dhidi…

Read More

IMETOSHA… YANGA: SARE SASA BASI, NI USHINDI TU

MARA baada ya kupata suluhu katika michezo mitatu mfululizo kwenye ligi kuu, benchi la ufundi la timu hiyo, limesema kuwa kwa sasa inatosha na litapambana kuhakikisha kuwa timu hiyo inapata ushindi katika michezo inayofuata na kuendeleza matumaini ya ubingwa msimu huu. Yanga imeshindwa kupata ushindi wala kufunga bao katika michezo mitatu iliyopita mfululizo dhidi ya…

Read More

ISHU YA ONYANGO KUSEPA SIMBA IMEFIKA HAPA

BEKI wa kati wa Simba raia wa Kenya, Joash Achieng Onyango, amekubali kuongeza mkataba wa kuendelea kukipiga ndani ya timu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu tetesi zizagae za beki huyo tegemeo kunako Simba kugomea mazungumzo ya awali kati yake na uongozi wa timu hiyo. Onyango ni kati ya wachezaji wanaomaliza mikataba katika kikosi…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

MEI 11,2022 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili. Polisi Tanzania itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Dodoma Jiji, mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ushirika. Coastal Union itakuwa na kazi ya kumenyana na Biashara United mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkwakwani. Simba itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi…

Read More

MORRISON,MKUDE,KUIKOSA KAGERA SUGAR

VIUNGO wa Simba wanne leo wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Mkapa mbele ya Kagera Sugar. Mchezo wa leo ni wa mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza Kagera Sugar kuwatungua bao 1-0 Simba, Uwanja wa Kaitaba. Pablo Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna wachezaji ambao wakosekana…

Read More

NENO LA KIBWANA BAADA YA KUONGEZA MKATABA YANGA

KIBWANA Shomari, beki wa Yanga amesema kuwa anafurahia kuwa ndani ya kikosi cha Yanga na ana imani ya kuendelea kufanya vizuri baada ya kuongeza mkataba wa miaka miwili. Mkataba wa beki huyo chaguo la kwanza la Kocha Nasreddine Nabi ulikuwa unakaribia kufika ukingoni mwa msimu huu hivyo bado yupo sana ndani ya kikosi cha Yanga….

Read More

AZAM FC YAPOTEZA MBELE YA MBEYA CITY

AZAM FC imepoteza kwa kufungwa mabao 2-1 mbele ya Mbeya City kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sokoine. Nyota wa Mbeya City Juma Shemvuni dakika ya 51 kwenye mchezo huo alipachika bao la kuongoza. Kwa Azam FC bao pekee la kufutia machozi lilifungwa na Ayoub Lyanga dakika ya 88 kwenye mchezo huo ikiwa ni…

Read More

YANGA:MAYELE NI FUNDI WA KUPIGA PENALTI NYIE

HAJI Manara,Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa mshambulaji wa kikosi hicho Fiston Mayele ni fundi wa kupiga penalti kuliko watu wanavyofikiria. Kwenye mchezo dhidi ya Prisons Mayele alikosa penalti ya kwanza ndani ya ligi na kuwafanya wakose mazima pointi tatu na kugawana mojamoja Uwanja wa Mkapa. Manara amesema kuwa kilichotokea kwa Mayele ni jambo ambalo…

Read More