CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mtibwa Sugar unawapa nguvu ya kuanza kuwasaka wapinzani wao wajao kwenye mchezo wa ligi ambao ni Ruvu Shooting wazee wa mpapaso unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mabatini,Jumatatu.
Related News
Germany's defender #15 Nico Schlotterbeck celebrates after scoring his team's second goal during the 2026 World Cup Group E football match between Germany and Curacao at the Houston Stadium in Houston on June 14, 2026. (Photo by RONALDO SCHEMIDT / AFP)