ISSA Azam shabiki wa Simba amesema kuwa Yanga imekata upepo na wameshindwa kuifunga Simba kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa,baada ya dakika 90 ubao kusoma Yanga 0-0 Simba na kuwafanya watani hao wa jadi kugawana pointi mojamoja
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura