SportsVIDEO:ISSA AZAM ASEMA YANGA WAMEKATA UPEPO Saleh4 years ago01 mins ISSA Azam shabiki wa Simba amesema kuwa Yanga imekata upepo na wameshindwa kuifunga Simba kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa,baada ya dakika 90 ubao kusoma Yanga 0-0 Simba na kuwafanya watani hao wa jadi kugawana pointi mojamoja Post navigation Previous: VIDEO:YANGA WATAMBA,TABU IPO PALEPALENext: MBEYA CITY WANATAKA TANO BORA