
MZEE MAKOROKOCHO AJIBU NI MBILI TU
NYOTA Ibrahimu Ajibu mzee wa makorokocho rekodi zinaonyesha kuwa alijenga ushikaji akiwa ndani ya Simba kwa kuwa aliweza kucheza mechi mbili pekee. Ajibu hakuwa ni chaguo la kwanza mbele ya Kocha Mkuu, Pablo Franco ambaye alikuwa akiweka wazi kwamba nyota huyo ni moja ya viungo wenye uwezo mkubwa. Akiwa ndani ya kikosi cha Simba kiungo…