YANGA WATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA KISA KICHAPO

BAADA ya wawakilishi wa kimataifa katika Kombe la Shirikisho, Simba kufungwa 3-0 dhidi ya ASEC Mimosas watani zao wa jadi Yanga wametupa jiwe gizani kimyakimya. Kupitia Insta yao waliachia picha ya Djuma Shaban akiwa mwenye kicheko na kuuliza..wawakilishi wa nini..au basi… Haji Manara Ofisa Habari wa Yanga aliweza kudondosha maoni yake kwa kuandika labda wawakilishi…

Read More

BARCELONA YAICHAPA MABAO 4-0 REAL MADRID

WAKIWA Uwanja wa Santiago Bernabeu wameshuhudia ubao ukisoma Real Madrid 0-4 Barcelona. Pierre Aubameyang alitupua 2 dk 29 na 51,Ronald Araujo dk 38 na Ferran Torres dk 47. Mchezo huo wa El Clasico umiliki ulikuwa ni mali ya Barcelona ambao walikuwa na asilimia 60 huku Real Madrid wao ikiwa ni 40. Ushindi huo unaifanya Barcelona…

Read More

SAIDO KUIWAHI AZAM FC

SAID Ntibanzokiza kiungo wa Yanga ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kutibu majeraha yake anatarajiwa kurejea kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Azam FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 6 utakuwa ni wa mzunguko wa pili Uwanja wa Mkapa. Kiungo huyo aliumia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Kagera Sugar na alikuwa na jambo…

Read More

SALAH AINGIA ANGA ZA PSG NA BARCELONA

MOHAMED Salah mshambuliaji wa Liverpool anatajwa kuingia katika rada za PSG na Barcelona ambazo zinahitaji saini yake. Mkataba wake ndani ya Liverpool kwa sasa una uhai wa miezi 18 na unatarajiwa kumeguka 2023. Mpaka sasa hakujawa na taarifa yoyote kutoka Liverpool ambao walikaa naye mara ya mwisho Desemva mwaka jana kuhusu kuboresha mkataba wake. Staa…

Read More

SIMBA YAPOTEZA KIMATAIFA BAO 3-0 YACHAPWA

UGENINI Simba imepoteza kwa kufungwa mabao 3-0 huku mabao yakipachikwa na Aubin Kramo Kouame dk 16,Stephane Aziz dk 23 na Karim Konate dk 57. Licha ya Air Manula kuokoa penalti mbili bado kazi ilikuwa ngumu kwa washambuliaji kuweza kucheka na nyavu. Katika kundi D sasa pointi inashushwa kutoka nafasi ya kwanza mpaka nafasi ya tatu…

Read More

MAPUMZIKO:ASEC MIMOSAS 2-0SIMBA

UBAO unasoma ASEC Mimosas 2-0 Simba na utulivu kwa Simba tatizo dk 14 za mwanzo walitengeneza nafasi nne zote wakakosa na ni shuti moja la Meddie Kagere lililenga lango dk ya 27. Aubin Kramo Kouame dk 16 na Stephane Aziz wamemtungua Manula ambaye aliokoa penalti dk ya 36. Simba ina kazi kubwa ya kuweza kusaka…

Read More

SIMBA KAZINI LEO KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho wakiwa hatua ya makundi Simba wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ASEC Mimosas. Huu ni mchezo wa tano kwa Simba wakiwa na pointi 7 kibindoni baada ya kucheza mechi 4 na wapinzani wao ASEC Mimosas wapo nafasi ya pili na pointi 6. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza…

Read More

YANGA YASEPA NA POINTI TATU MBELE YA KMC

MSAKO wa pointi tatu umekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 2-0 KMC. Mabao ya Andrew Vincent aliyejifunga dk 39 na Djuma Shaban dk 51. KMC walikosa utulivu hali iliyofanya wakose nafasi walizotengeneza na ni kadi 5 za njano wameonyeshwa. Yanga inafikisha pointi 48. KMC inakwama kupata pointi mbele ya Yanga msimu huu…

Read More

MAPUMZIKO:YANGA 1-0KMC, UWANJA WA MKAPA

NI moja ya mchezo bora wa Ligi Kuu Bara ndani ya Machi 19,2022 ikiwa ni mapumziko ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 KMC. Bao la kujifunga la Dante dk 39 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Fiston Mayele. Yanga wamenyimwa penalti dk 16 na KMC wamenyimwa kona dk 44. Kasi ya KMC…

Read More

KIKOSI CHA KMC DHIDI YA YANGA

KMC ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Yanga, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku. Hiki hapa kikosi kinachitarajiwa kuanza:- Juma Kaseja Hassan Ramadhan Sadal Lipangile Andrew Vincent Masoud Abdalah Kenny Ally Emmanuel Mvuyekule Matheo Anthony Idd Lipagwile Hassan Kabunda Akiba Shikalo Ramadhan Ismail Gambo Abas Kapombe Awesu Awesu Martin Kigi Abdul Hillary Miraj…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA KMC

MACHI 19, Yanga ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya KMC Uwanja wa Mkapa na hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Diarra Djigui Djuma Shaban Farid Mussa Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Sure Boy Nkane Chico Ushindi Feisal Salum Fiston Mayele Akiba Mshery Bacca Kibwana Yassin Mauya Balama Ambundo Kaseke Makambo

Read More

MSUVA AITABIRIA MAKUBWA SIMBA KIMATAIFA

MCHEZAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga kwenye kikosi cha Wydad Casablanca ya Morocco, Simon Msuva amesema kuwa kwa mwendo wa Simba wanaouonyesha kwenye michuano ya kimataifa watafika mbali. Msuva kwa sasa anaripotiwa kuwa nchini hapa kwa madai yuko kwenye mgogoro wa kimaslahi na klabu yake hiyo ya Morocco. Msuva amesema Simba wameshakuwa wazoefu kwenye mashindano…

Read More