MSHAMBULIAJI WA SIMBA AKUBALI UWEZO WA MAYELE,AMPA TUZO

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba ambaye hivi sasa anacheza Kagera Sugar, Mganda, Hamis Kiiza ‘Diego’amesema kuwa Fiston Mayele mshambuliaji wa Yanga ana uwezo mkubwa wa kucheza na kufunga. Kiiza aliyewahi kuichezea Yanga kabla ya kwenda Simba, alitoa kauli hiyo mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Februari 27,2022….

Read More

ABRAMOVICH ATHIBITISHA KUIWEKA SOKONI CHELSEA

ROMAN Abramovich usiku wa Jumatano kwa hisia amethibitisha kwamba yupo kwenye mpango wa kuiuza timu hiyo. Abramovich ameamua kuuvunja ukimya baada ya taarifa kuwa nyingi zikieeleza kwamba tayari timu hiyo ipo sokoni. MailOnline mapema Jumatano iliripoti kwamba Chelsea imewekwa sokoni na kiasi ambacho kilikuwa kinahitajika ni Euro bilioni 3. Abramovich usiku uliopita amesema:”Nimeamua kuchukua maamuzi…

Read More

ABRAMOVICH ANATAJWA KUIWEKA SOKONI CHELSEA

BILIONEA Roman Abramovich inatajwa kwamba ameanza kuuza vitu ambavyo anavimiliki ndani ya England kwa bei ya hasara na anajaribu pia kuweza kuuza umiliki wa timu ya Chelsea kwa dau la euro bilioni 3 na milioni 200 kwa hofu ya kuweza kuzuiliwa vitu vyake kwa kuwa ni raia wa Urusi. Miongoni mwa vitu ambavyo anamiliki na…

Read More

KAPOMBE APEWA TUZO YA MCHEZAJI BORA

BEKI wa kazi chafu, mzawa Shomari Kapombe anayekipiga ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco pamoja na msaidizi wake Seleman Matola ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki kwa mwezi Februari. Kapombe ametwaa tuzo hiyo kwa kuwashinda wenzake wawili ambao aliingia nao fainali katika kuwania tuzo hiyo. Beki wa kati Henock Inonga…

Read More

NABI:CHICO MTAMUELEWA TU,ATAFANYA KAZI VIZURI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wale wanaosema kuhusu mchezaji wao mpya Chico Ushindi watamuelewa tu kwa sababu hakusajiliwa kwa makosa. Chico ambaye ni ingizo jipya kwenye dirisha dogo mechi mbili za ligi amecheza na kutumia dakika 19.  Nabi amesema kuwa anasikia wengi wanazungumza kuhusu uwezo wa Chico na kwa nini hachezi hilo…

Read More

BILIONEA ANAHITAJI KUINUNUA CHELSEA

BILIONEA Hansjorg Wyss raia wa Switzerland inaelezwa kuwa yupo kwenye hesabu za kuhitaji kuwa mmiliki wa Klabu ya Chelsea kwa kuwa anahitaji kuinunua baada ya habari kuelezwa kwamba Roman Abramovich yupo kwenye mpango wa kuiuza timu hiyo. Bilionea huyo mwenye miaka 86 inaonekana kwamba anauhitaji wa kuwa mmiliki wa Chelsea inayotumia Uwanja wa Stamford Bridge…

Read More

RATIBA YA SIMBA MACHI NI BALAA

BAADA ya wawakilishi wa Tanzania kimataifa Simba kurejea salama Dar wakitokea Morocco wana vigongo vya moto ndani ya Machi kutimiza majukumu ya kusaka ushindi. Ikumbukwe kwamba Februari 27 walinyooshwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane ya Morocco katika mchezo wa kundi D kituo kinachofuata ni dhidi ya Biashara United. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kuchezwa…

Read More

AZAM FC YAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA COASTAL UNION

JOHN Matambala, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa Coastal Union ilikuwa imara eneo la katikati huku akiwaomba mashabiki kuendelea kuwa wavumilivu. Machi Mosi, ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Azam FC 0-0 Coastal Union na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. “Tumetoka kupoteza mechi,ninawapongeza Coastal Union kwa kuonyesha mchezo mzuri. Mashabiki wasikate tamaa,mpira upo hivyo…

Read More

LUSAJO BABA LAO KWA UTUPIAJI BONGO

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Namungo, Relliats Lusajo ni baba lao kwa utupiaji ndani ya Bongo katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22. Leo Machi Mosi anaanza mwezi mpya huku akiwa ni namba moja kwa kuwa ametupia mabao 10 akiwa na jezi ya Namungo FC. Kwa mujibu wa rekodi za Bodi ya Ligi Tanzania,(TPLB) nyota huyo…

Read More

MSAKO WA POINTI TATU KWA MKAPA ULIKUWA HIVI

KAMA utakuwa unaitafuta Yanga ilipo kwa sasa kwenye msimamo ni namba moja na pointi zake kibindoni ni 42 baada ya juzi kushinda kwa mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa. Ilikuwa ni msako wa pointi tatu kwa timu zote mwisho Yanga wakasepa na pointi tatu mazima na ilikuwa namna hii  :- Makipa kazini…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,HESABU ZAO HIZI HAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Simba leo Machi Mosi wamerejea Dar baada ya kukamilisha dakika 180 za msako wa pointi sita kimataifa ugenini. Kwenye msako huo Simba iliambulia pointi moja na kufikisha pointi 4 kibindoni baada ya kupoteza mchezo mmoja wa kimataifa. Ilikuwa mbele ya USGN ya Niger, Simba ililazimisha sare ya kufungana…

Read More

WASHAMBULIAJI WAWILI WARUDI YANGA

WASHAMBULIAJI wawili ambao walikuwa nje kwa muda ndani ya kikosi cha Yanga wamerejea kikosini kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho. Ni Yusuph Athuman ambaye alikuwa nje kwa muda akitibu majeraha ambayo yalikuwa yakimsumbua. Pia Crispin Ngushi naye pia amerejea kikosini kwa kuwa alikuwa anatibu majeraha pia. Athuman kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar…

Read More