RATIBA YA MZUNGUKO WA 18,LIGI KUU BARA

Mzunguko wa 18, ratiba ya Ligi Kuu Bara:- Mbeya City v Kagera Sugar, Machi 12, Uwanja wa Sokoine. Coastal Union v Ruvu Shooting, Uwanja wa Mkwakwani, Machi 12. Mtibwa Sugar v Geita Gold, Uwanja wa Manungu Machi 13. Dodoma Jiji v Mbeya Kwanza, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Machi 13. Biashara United v Prisons, Machi 15,Uwanja…

Read More

YANGA YAKIRI KMC NI WAGUMU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameonyesha kuwa hataki kufanya mchezo katika suala la kushinda ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, hii ni baada ya kuwaambia mastaa wake kuhakikisha wanakuwa na mawazo ya pointi tatu tu, katika mchezo wao ujao dhidi ya KMC. Kuelekea mchezo huo dhidi ya KMC utakaochezwa Jumamosi ijayo, kikosi cha…

Read More

ABRAMOVICH APEWA RUKSA KUIWEKA SOKONI CHELSEA

ROMAN Abramovich na Serikali ya Uingereza imeripotiwa kwamba wamefikia makubaliano kwa ajili ya suala la mauzo ya timu ya Chelsea. Serikali inaelezwa kuwa inazingatia suala la timu hiyo kuwekwa sokoni ili kuweza kupata matokeo mazuri kwa ajili ya Chelsea. Kampuni ya Raine Group imeelezwa kuwa imepewa ruhusa ya kuendelea na mchakato wa kusaka mshindani ambaye…

Read More