>

YANGA KUIFUATA GEITA GOLD FULL MUZIKI

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mechi zao zijazo na kurejesha shukrani kwa mashabiki ambao wamekuwa wakijitokeza kwa wingi uwanjani. Manara amesema:”Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya matokeo ambayo tunayapata kwenye mechi zetu za Kombe la Shirikisho pamoja na mechi za ligi. “Ushindi huu unahanikizwa na kila Mwanayanga…

Read More

RANGNICK AWAVAA MASTAA WAKE

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amewachana mastaa wa timu hiyo kwa kuwaambia kwamba wanatakiwa kuongeza umakini. Juzi Manchester United walikosa nafasi nyingi za wazi kwenye mchezo wa  Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Trafford ilikuwa ni Februari 26,2022 na waligawana pointi mojamoja. Wakiwa wamecheza mechi 6, Uwanja wa Old Trafford ni mabao…

Read More

LIVERPOOL MABINGWA WA CARABAO CUP

LIVERPOOL ni mabingwa mara 9 wa Carabao Cup na usiku wa kuamkia leo waliweza kufikisha taji lao hilo la 9 muhimu. Ni ushindi wa penalti 11-10 dhidi ya Chelesea baada ya dakika 120 kukamilika bila kupatikana mbabe kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Wembeley. Mipango ya Kocha Mkuu wa Chelsea Thomas Tuchel kumuamini Kepa Arrizabalaga…

Read More

SIMBA KURUDI KUJIPANGA UPYA KUWAKABILI BERKANE

BAADA ya kikosi cha Simba kupoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa watashinda mechi ambazo watacheza nyumbani. Kichapo hicho cha mabao mawili kinaifanya Simba kubaki na pointi 4 kibindoni huku RS Berkane ikifikisha pointi 6 na…

Read More

MUDA WA KUJIBU MASWALI YA MZUNGUKO WA KWANZA KWA VITENDO

NI kitu gani ambacho wachezaji mlishindwa kukifanya kwenye mzunguko wa kwanza katika kusaka ushindi kwenye mechi ambazo mlikuwa mnacheza? Ni jambo gani ambalo benchi la ufundi mlikwama kulifanya kwenye mechi ambazo mlikuwa mnaziongoza na mwisho mkapata matokeo ambayo hayakuwa kwenye mpango wenu. Ilikuaje mashabiki mkwakwama kushangilia kwenye mechi ambazo mliweza kufika uwanjani mwanzo mwisho na…

Read More

BARCELONA YATEMBEZA 4G

USIKU wa kuamkia leo Barcelona imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Athletic Club. Mabao ya Pierre Aubameyang dk 37,Ousmane Dembele dk 73, Luuk de Jong dk 90 na Memphis Depay dk 90+3 yalitosha kuipa pointi tatu Barcelona. Ilikuwa ni katika Uwanja wa Camp Nou mambo yote hayo yamefanyika. Inakuwa na pointi 45 baada…

Read More