
YANGA BINGWA WA KOMBE LA SAFARI CUP
Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la #Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa. FT: Safari Champions 1️⃣➖4️⃣ Yanga SC ⚽️ Omary Mfaume ⚽️ Shekhan ⚽️ Prosper ⚽ Hussein Safari Champions ni kikosi ambacho kilipatikana kupitia programu maalum iliyoendeshwa na…