NAHODHA HUYU ANA ZALI NA MAKOMBE, MEDALI

MSIMU wa 2023/24 nahodha Bakari Mwamnyeto alikuwa kiongozi wakitwaa taji la NBC, CRDB na katika Ligi ya Mabingwa Afrika wamegotea hatua ya robo fainali. Mbali na makombe anaingia kwenye orodha ya nahodha aliyevaa medali ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya Yanga kuwa washindi wa pili. Nyota huyo ameweka wazi kuwa wanatambua mashabiki…

Read More

MGAO WA MILIONI 2,500,000/= ZA EXPANSE KASINO

Sehemu pekee unayoweza kupata bonasi ya ukaribisho hadi 300% ni Meridianbet pekee, jisajili upate bonasi hiyo kucheza michezo ya Expanse na kubashiri michezo mingi. Pia kuna shindano la Expanse ambalo unaweza kujishindia Mgao wa Milioni 2,500,000/= endapo utaibuka mshindi. Cheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni kutoka Expanse Studio. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse…

Read More

FOUNTAIN GATE KAMA MBWAI IWE MBWAI

HAWANA jambo dogo Fountain Gate kutokana na kuweka wazi kwamba wana jambo lao kubwa ndani ya Agosti 2024 ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajia kuanza Agosti 16 2024. Ikumbukwe kwamba kwa msimu wa 2023/24 taji la ligi lipo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi pia taji la CRDB Federation…

Read More

YANGA YAFICHUA KILICHO NYUMA YA USHINDI

USHINDI wa mabao 4-0 waliopata Yanga dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini unawapa taji la kwanza la Toyota Cup 2024 huku wakiweka wazi kuwa siri ya ushindi huo ni kuona kila kitu ni muhimu kwao kushinda ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Kaizer Chiefs inanolewa na Nasreddine Nabi ambaye aliwahi kuifundisha Yanga kabla ya mikoba…

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA MBAGALA LEO

Kampuni ya Meridianbet imefanikiwa kutoa msaada leo katika eneo la Mbagala Kingugijijini Dar-es-salaam katika moja ya familia zenye uhitaji. Huu umekua utaratibu wa miaka mingi wa mabingwa hao wa kubashiri kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii yao haswa kwenye watu wenye uhitaji, Leo wamefika kwenye familia ya mzee Yusuph Mdogwa mwenye ulemavu wa macho na kurejesha tabasamu…

Read More

MCHEZO WA KASINO RAHISI KUSHINDA NI UPI?.

Kutana na mchezo wa kasino wenye sifa ya kutoa washindi kila sekunde, yaani ni rahisi kushinda kuliko kumeza mate, mchongo huu unapatikana pale Meridianbet wakali wa kasino ya Mtandaoni, unaambiwa ukijisajili ukaongeza salio unapewa bonasi ya ukaribisho hadi Tsh Milioni 3,000,000/= Mchezo huu unaangazia Wild West na saluni, benki na ofisi ya POLISI ikiwa nyuma…

Read More

WIKENDI YA MAOKOTO MECHI ZA LEO KAZI KWAKO, SOMA HAPA

Huenda leo hii ikawa bahati yako kwa kubashiri na Meridianbet kwani hapa kila kitu unachokitaka kipo. Ukitaka machaguo zaidi ya 1000 yapo, odds za kibabe pia zipo. Ingia www.meridianbet.co.tz na uske jamvi lako hapa. Tunaanza kuangazia Everton ambao watakua ugenini kupepetana dhidi ya Salford City ambao wanakipiga Uingereza League 2 huku wakimaliza msimu wakiwa kwenye…

Read More

GAMONDI: TUNAITANGAZA YANGA DUNIANI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amebainisha kuwa uwepo wao Afrika Kusini una faida kubwa kutokana na kucheza mechi za ushindani ambazo ni muhimu kuelekea msimu mpya huku wakiitangaza timu hiyo duniani kote. Gamondi aliongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuinoa Yanga yenye maskani yake Jangwani, Kariakoo inatarajiwa kurejea Bongo ikikamilisha mchezo dhidi ya Kaizer…

Read More

UBAYA UBWELA SIMBA YATAMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa itakuwa ni ubaya ubwela Agosti 3 2024 kutokana na mpango kazi uliopo ndani ya timu kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day linalotarajiwa kuwa na mwendelezo wa mvuto Uwanja wa Mkapa. Tayari Simba wamezindua uzi mpya wa msimu wa 2024/24 ilikuwa ni Julai 24 Morogoro na Sandaland anahusika…

Read More

YANGA YAFUNGUKIA ISHU YA KHALID AUCHO

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa ulitamani kiungo Khalid Aucho angekuwa kwenye orodha ya wanaowania tuzo ya kiungo bora kutokana na kazi yake anayofanya ndani ya uwanja kitaifa na kimataifa. Ipo wazi kwamba Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 walimaliza wakiwa na pointi 80 baada ya…

Read More