AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA

Aliyekuwa beki tegemeo wa Simba SC, Henock Inonga Baka, ameaga rasmi klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco baada ya kuitumikia kwa msimu mmoja pekee. Kupitia taarifa rasmi ya klabu hiyo, AS FAR imeuthibitisha kuachana na beki huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa heshima na shukrani kwa mchango wake katika kikosi…

Read More

UBINGWA WA CECAFA WALETA MATUMAINI KUELEKA CHAN, FA AFUNGUKA

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma maarufu kwa jina la FA amebainisha kuwa timu ya Tanzania ipo vizuri. Hayo alisema mara baada ya Tanzania kupata ushindi dhidi ya Uganda. Mwinjuma amesema kwenye mpira wa miguu lolote linaweza kutokea. Ikumbukwe kwamba kwenye mashindano maalumu ya CECAFA ambayo yalishirikisha timu tatu, Tanzania, Uganda…

Read More

SIMBA SC YAPASWA KUJIVUNIA MWAMBA HUYU HAPA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa Fadlu yupo likizo ila anafanya kazi kwa moyo mkubwa akiwa Tanzania. “Katika vitu ambavyo tunapaswa kujivunia kwa hali na mali Wanasimba ni uwepo wa Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Yupo likizo lakini alitoka Afrika Kusini na kuelekea Dubai kuongea na Mo. “Kwa sasa…

Read More

KIUNGO MKENYA NI NJANO NA KIJANI MPAKA 2027

YANGA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz imemuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wa kazi Duke Abuya raia wa Kenya. Abuya ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa katika kikosi cha Yanga SC kilichotwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2024/25 kikiwa na pointi 82 kibindoni baada ya mechi 30. Ni mechi 27 alicheza akikomba dakika 1,496…

Read More

USAJILI WA KWANZA SIMBA HUU HAPA, MSHAMBULIAJI WA MABAO KUTAMBULISHWA

MSIMBAZI kumeanza kumechangamka kupitia usajili baada ya dirisha la usajili kufunguliwa huku wakiwa hajatangaza mchezaji hata mmoja mpya ambaye ameshasaini kandarasi Simba SC. Mabosi wa Singida Black Stars, wameeleza kuwa Jonathan Sowah ambaye ni mshambuliaji wao wameingia makubaliano ya kumuuza ndani ya Simba SC kwa makubaliano maalumu. Hivyo Sowah anakuwa nyota wa kwanza usajili wake…

Read More

HUYU NI KOCHA MPYA YANGA SC CV YAKE

ROMAIN Folz kocha mpya wa Yanga SC ana balaa zito akiwa ni kocha kijana. Kocha huyo ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC 2024/25. Miloud alipewa Thank You Julai 3 2025 hivyo hatakuwa ndani ya Yanga SC msimu wa 2025/26 amepata changamoto mpya Klabu ya Ismaily SC ya Misri….

Read More

KITABU CHA MOYO WANGU UNAVUJA DAMU RASMI KIPO MTAANI

LEO Julai 24, 2025, kitabu kipya kiitwacho Moyo Wangu Unavuja Damu kimetambulishwa rasmi sokoni katika Makao Makuu ya Global Group, Sinza – Mori, ikiwa ni kazi ya pili ya fasihi kutoka kwa mtunzi mahiri Lunyamadzo Mlyuka, aliyejipatia umaarufu kupitia kitabu chake cha awali Ganzi ya Maumivu. Kitabu hiki ni simulizi ya kusisimua inayochambua kwa kina…

Read More

PACOME ZOUZOUA KUBAKI YANGA MPAKA 2027

Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast, Pacome Zouzoua,inasemekana ameshasaini mkataba mpya na klabu ya Yanga SC siku nyingi zilizopita, muda mfupi tu baada ya fainali ya Kombe la CRDB. Kwa mujibu wa taarifa za ndani, mkataba huo wa miaka miwili ulitayarishwa na kusainiwa kipindi hicho, huku mpunga ukishalipwa rasmi fedha ambazo Zouzoua hakupoteza muda kuzitumia kujenga…

Read More

EUROPA LEAGUE KUFUZU LEO HATUCHEZWI – MERIDIANBET WAKUWEKA MJINI KWA ODDS NONOOO!

Kama kawaida ni siku nyingine pendwa kabisa ambapo mechi kibao za kufuzu Europa League msimu ujao zinapigwa. Meridianbet tayari wameshakuwekea machaguo uyatakayo na wewe unachotakiwa kufanya ni kusuka jamvi lako tuu. Mteja wa Meridianbet unaweza ukabashiri mechi ya FC Banik Ostrava dhidi ya Legia Warszawa ya kule Poland. Meridianbet kwanza wameipa mechi hii ODDS 2.41…

Read More

YANGA YATANGAZA KUAGANA NA WACHEZAJI WATANO NYOTA

Klabu ya Yanga imetangaza hatua kubwa ya mabadiliko ndani ya kikosi chake kuelekea msimu wa 2025/2026, kwa kuthibitisha kuachana rasmi na wachezaji wake nyota watano, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya maboresho ya kikosi hicho kuelekea mashindano ya ndani na ya kimataifa. Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka klabuni, wachezaji hao hawatakuwa sehemu ya mipango…

Read More

KOCHA WA KIMATAIFA APOKELEWA JANGWANI KAMA MFALME

Klabu ya Yanga SC imemtambulisha rasmi Romain Folz, kocha raia wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 35, kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo. Utambulisho huu unakuja baada ya aliyekuwa kocha, Miloud Hamdi, kutimkia klabu ya Ismaily ya nchini Misri. Romain Folz, ambaye ni mzaliwa wa Bordeaux, Ufaransa, anakuja na wasifu mzito uliopambwa na uzoefu…

Read More