
SINGIDA BLACK STARS DHIDI YA YANGA KIVUMBI
FT: UWANJA wa New Amaan Complex Ligi Kuu Bara Singida Black Stars 0-1 Yanga Pacome goal dk 64. Kivumbi kwa wababe wawili ndani ya Uwanja ambao hawajapoteza mchezo huku kila timu ikibainisha kwamba inahitaji pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Singida Black Stars inayonolewa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems ameweka wazi kuwa wanatambua mchezo…