

KIMATAIFA, UWANJA WA MKAPA YANGA V AL HILAL KAZINI
FT: KIMATAIFA Uwanja wa Mkapa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya makundi Yanga 0-2 Al Hilal Adama Couulibal amefunga bao la uongozi dakika ya 63 na bao la pili ni mali ya Yasir Mzamil dakika ya 90. YANGA chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic ipo uwanjani kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa hatua ya…

SIMBA YATAJA TIMU ITAKAYOTWAA UBINGWA
KOCHA wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa kwa upande wako anaona Azam FC wanayo nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa kwa siku za mbeleni kutokana na kikosi chao kuimarika kila siku. Pablo amesema amekutana na Azam FC kwenye mechi mbili kwa siku za hivi karibuni na ameona kuna utofauti mkubwa kwenye mechi ya kwanza na ya pili ambayo wamecheza na anaona kabisa timu ina ari ya…

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE SIMBA 0-1 AL AHLY
UKIWA ni mchezo wa ufunguzi wa African Football League, mashabiki wa Simba wameshuhudia namna mbinu za Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikiwa nyuma. Dakika 45 ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Simba 0-1 Al Ahly Mtupiaji kwenye mchezo huo ambao una ushindani mkubwa kwa timu zote ni Reda Slim aliyetumia makosa ya safu ya ulinzi ya…