SHINDA MAMILIONI KWA KUCHEZA RICH PANDA

Mchezo wa kukupa mamilioni ni mmoja tu mjini Rich Panda ndio habari ya mjini unaweza kunyakua maokoto ya kutosha kupitia mchezo huu kabambe wa kasino ambao kwasasa unapendwa na kutoa washindi wapya kila siku. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu,…

Read More

MUSSA CAMARA KWENYE MTEGO MZITO

KIPA namba moja wa Simba, Mussa Camara yupo kwenye mtego mzito kurejesha hali ya kujiamini katika kikosi cha kwanza kutokana na mwendo ambao amekuwa nao kwa sasa. Ikumbukwe kwamba kipa huyo kwenye mechi nne mfululizo ambazo alianza kikosi cha kwanza katika mechi za Ligi Kuu Bara hakufungwa na alikuwa imara kwenye kucheza na kutoa maelekezo…

Read More

DJIGUI DIARRA ANA BALAA ZITO

KIPA wa Yanga Djigui Diarra ana balaa zito uwanjani kutokana na kasi yake ya kuokoa hatari ndani ya lango akicheza mechi tano mfululizo bila kufungwa. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Diarra alipishana na tuzo ya kipa bora ambayo ilikwenda mikononi mwa Ley Matampi ambaye msimu wa 2024/25 akiwa na Coastal Union hajawa katika ubora wake…

Read More

TABORA UNITED YATANGAZA KUACHANA NA KOCHA WAKE

Klabu ya Tabora United imetangaza kufikia makubaliano ya pande zote mbili ya kusitisha makubalino baina ya aliyekuwa kocha wake Mkuu Francis Kimanzi pamoja na msaidizi wake Yusuph Chipo kunzia leo Oktoba 21. Taarifa ya klabu hiyo ya leo Oktoba 21, 2024 imebainisha kuwa sababu za kusitisha makubaliano hayo ni kutokana na mwenendo usioridhisha wa matokeo…

Read More

LEO HII KMC, CRYSTAL PALACE KUKUPATIA PESA

Ligi mbalimbali Duniani zinaendelea hii leo huku wewe ukiwa na nafasi kubwa ya kushika maokoto yako kwani mechi hizi zina ODDS KUBWA. Tandika jamvi lako la ushindi hapa. Ligi kuu ya Italia SERIE A leo kutapigwa mchezo mmoja kati ya Hellas Verona VS AC Monza ambaye ana hali mbaya kwenye msimamo wa ligi akishika nafasi…

Read More

HIZI HAPA REKODI ZA MASTAA WA SIMBA KARIAKOO DABI

WAZEE wa Ubaya Ubwela, Simba walipoteza katika mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 19 2024 kwa kushuhudia ubao ukisoma Simba 0-1 Yanga. Ipo wazi kuwa mchezo ulikuwa na ushindani mkubwa kwa kila timu na hapa tunakuletea rekodi za mastaa wa Simba namna hii:- Mussa Camara Alianza kikosi cha kwanza chini ya Kocha…

Read More

KAMATA REKODI ZA MASTAA WA YANGA DHIDI YA SIMBA

KAZI imekwisha Oktoba 19 2024 kwenye Kariakoo Dabi na mwisho ubao wa Uwanja wa Mkapa ukasoma Simba 0-1 Yanga, pointi tatu mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Hizi hapa rekodi za mastaa wa Yanga ilikuwa namna hii:- DJIGUI DIARRA Kipa namba moja wa Yanga alikuwa kwenye ubora wake akicheza mchezo wa 5…

Read More

USHINDI MARA 36 WA DAU LAKO KASINO YA MTANDAONI MERIDIANBET

Sloti ya Titan Roulette     Haikatai wala haipingi kutema mkwanja mrefu pindi unapoicheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, sloti ya Titan Roulette inakuhamisha Bongo na kukupeleka Ulaya kwa namna ambavyo maudhui yake yalivyo. Wakati ukifurahia mandhari hayo haitoshi bali utasindikizwa na miondoko ya kale kwa sababu Sloti ya Titan Roulette ina miondoko fulani hivi ya kizamani…

Read More

HIZI HAPA MECHI ZIJAZO ZA YANGA NA SIMBA

BAADA ya Kariakoo Dabi kugota mwisho mzunguko wa kwanza na ubao wa Uwanja wa Mkapa Oktoba 19 kusoma Simba 0-1 Yanga kazi bado inaendelea kwa Ligi Kuu Bara mechi kuwa za moto huku vinara wakiwa ni Singida Black Stars ambao walikomba pointi tatu kwenye mchezo uliopita dhidi ya Namungo. Oktoba 20 ubao wa Uwanja wa…

Read More

CHEZA RICH PANDA IKUPANDISHE KWENYE KITITA

Cheza mchezo wa Kasino wa Rich Panda leo uhakikishe unapandishwa kwenye kilele cha maokoto, Kwani kupitia mchezo huu pendwa kwasasa unaweza kuimaliza wikiendi yako kwa namna kibabe kabisa tembele sasa tovuti ya Meridianbet ucheze mchezo huu. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza…

Read More

SIMBA YAPOTEZA KARIAKOO DABI NYUMBANI

SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imepoteza mchezo wa Kariakoo Dabi Uwanja wa Mkapa kwa kushuhudia ubao ukisoma Simba 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi kwa Yanga limefungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 86 akitumia makosa ya kipa wa Simba Mussa Camara kutema faulo iliyopigwa na Clatous Chama. Simba walikosa utulivu kipindi cha kwanza…

Read More

KIKOSI CHA YANGA HIKI HAPA DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Yanga dhidi ya Simba Oktoba 19 2024 ikiwa ni Kariakoo Dabi kipo tayari kuelekea kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kikosi cha kwanza hiki hapa:-Dijgui Diarra, Yao, Ladack Boka, Dickson Job, Ibrahim Bacca, Khalid Aucho, Maxi Nzengeli, Mudathir Yahya, Prince Dube, Aziz Ki na Pacome kwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa…

Read More