AZAM FC WALIPIGIA HESABU KOMBE LA YANGA
CHINI ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kushuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Hesabu kubwa za Azam FC ni kupata ushindi kwenye mchezo huo ili kutwaa taji la CRDB Federation Cup ambalo lipo mikononi mwa Yanga. Ikumbukwe kwamba…