
SIMBA KAMILI KUWAVA USGN YA NIGER KIMATAIFA LEO
AISHI Manula, kipa namba moja wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya USGN ya Niger. Simba inakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya USGN ikiwa ni mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Timu zote zipo kundi D ambalo kinara ni RS Berkane mwenye pointi tatu akiwa…