
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MOHAMED Salah mshambuliaji wa Liverpool anatajwa kuingia katika rada za PSG na Barcelona ambazo zinahitaji saini yake. Mkataba wake ndani ya Liverpool kwa sasa una uhai wa miezi 18 na unatarajiwa kumeguka 2023. Mpaka sasa hakujawa na taarifa yoyote kutoka Liverpool ambao walikaa naye mara ya mwisho Desemva mwaka jana kuhusu kuboresha mkataba wake. Staa…
WAKATI ukurasa ukifungwa kwa Yanga kuimaliza KMC Uwanja wa Mkapa ulipigwa mpira wa darasani huku wachezaji wakitembezeana mikasi ya kishkaji katika msako wa pointi hizo. Ubao ulisoma Yanga 2-0 KMC ilikuwa ni Machi 19 na waliofanya iwe hivyo ni Matheo Anthon dk ya 39 kwa bao la kujifunga na Djuma Shaban ilikuwa dk ya 51….
UGENINI Simba imepoteza kwa kufungwa mabao 3-0 huku mabao yakipachikwa na Aubin Kramo Kouame dk 16,Stephane Aziz dk 23 na Karim Konate dk 57. Licha ya Air Manula kuokoa penalti mbili bado kazi ilikuwa ngumu kwa washambuliaji kuweza kucheka na nyavu. Katika kundi D sasa pointi inashushwa kutoka nafasi ya kwanza mpaka nafasi ya tatu…
UBAO unasoma ASEC Mimosas 2-0 Simba na utulivu kwa Simba tatizo dk 14 za mwanzo walitengeneza nafasi nne zote wakakosa na ni shuti moja la Meddie Kagere lililenga lango dk ya 27. Aubin Kramo Kouame dk 16 na Stephane Aziz wamemtungua Manula ambaye aliokoa penalti dk ya 36. Simba ina kazi kubwa ya kuweza kusaka…
YANGA imewaacha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba kwa tofauti ya pointi 11 kibindoni. Yanga ina pointi 48 baada ya kucheza mechi 18 na Simba ina pointi 37 baada ya kucheza mechi 17. Ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC uliochezwa jana Uwanja wa Mkapa kumewapa nguvu vinara hao kujikita zaidi hapo. Simba wao…
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho wakiwa hatua ya makundi Simba wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ASEC Mimosas. Huu ni mchezo wa tano kwa Simba wakiwa na pointi 7 kibindoni baada ya kucheza mechi 4 na wapinzani wao ASEC Mimosas wapo nafasi ya pili na pointi 6. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Spoti Xtra Jumapili
MSAKO wa pointi tatu umekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 2-0 KMC. Mabao ya Andrew Vincent aliyejifunga dk 39 na Djuma Shaban dk 51. KMC walikosa utulivu hali iliyofanya wakose nafasi walizotengeneza na ni kadi 5 za njano wameonyeshwa. Yanga inafikisha pointi 48. KMC inakwama kupata pointi mbele ya Yanga msimu huu…
NI moja ya mchezo bora wa Ligi Kuu Bara ndani ya Machi 19,2022 ikiwa ni mapumziko ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 1-0 KMC. Bao la kujifunga la Dante dk 39 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Fiston Mayele. Yanga wamenyimwa penalti dk 16 na KMC wamenyimwa kona dk 44. Kasi ya KMC…
KMC ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Yanga, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku. Hiki hapa kikosi kinachitarajiwa kuanza:- Juma Kaseja Hassan Ramadhan Sadal Lipangile Andrew Vincent Masoud Abdalah Kenny Ally Emmanuel Mvuyekule Matheo Anthony Idd Lipagwile Hassan Kabunda Akiba Shikalo Ramadhan Ismail Gambo Abas Kapombe Awesu Awesu Martin Kigi Abdul Hillary Miraj…
MACHI 19, Yanga ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya KMC Uwanja wa Mkapa na hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Diarra Djigui Djuma Shaban Farid Mussa Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Sure Boy Nkane Chico Ushindi Feisal Salum Fiston Mayele Akiba Mshery Bacca Kibwana Yassin Mauya Balama Ambundo Kaseke Makambo
MCHEZAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga kwenye kikosi cha Wydad Casablanca ya Morocco, Simon Msuva amesema kuwa kwa mwendo wa Simba wanaouonyesha kwenye michuano ya kimataifa watafika mbali. Msuva kwa sasa anaripotiwa kuwa nchini hapa kwa madai yuko kwenye mgogoro wa kimaslahi na klabu yake hiyo ya Morocco. Msuva amesema Simba wameshakuwa wazoefu kwenye mashindano…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametaja mambo muhimu ya Fiston Mayele yanayofanya aweze kuanza moja kwa moja kikosi cha kwanza. Mayele ni mtupiaji namba moja ndani ya Yanga akiwa ametupia mabao 10 na pasi tatu katika mechi 17 ambazo Yanga imecheza ikiwa na pointi 45 kibindoni. Nabi amesema kuwa Mayele ana mambo mengi ya…
KLABU ya Arsenal inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta itakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya Ligi Kuu England bila uwepo wa nyota wake wawili. Ni kipa Aaron Ramsdale pamoja na mshambuliaji Gabriel Martinelli ambao hawakuwepo katika safari ya kuibukia Midlands. Ramsdale yeye ana maumivu huku Marttinelli anapambania afya yake kwa kuwa anaumwa….
MSHAMBULIAJI wa Simba, John Bocco hajafunga bao ndani ya ligi kwa msimu wa 2021/22 katika mechi 14 ambazo amecheza. Ikumbukwe kwamba Bocco ni mshambuliaji na ana kibarua cha kutetea kiatu bora ambacho alitwaa baada ya kufunga mabao 16 na asisti mbili msimu wa 2020/21. Msimu huu mambo yamekuwa magumu kwa nyota huyo mzawa ambaye amecheza…