TANZANIA INAHESABU ZA UBINGWA WA CHAN

KUELEKA CHAN 2024, wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wapo nchini Misri kwa kambi maalumu huku hesabu kubwa ikiwa ni kupata matokeo kwenye mechi zijazo za ushindani na kutwaa ubingwa kwa kupata matokeo chanya katika uwanja. Dickson Job ambaye ni beki mwenye uwezo wa kupiga pasi ndefu na fupi ni miongoni mwa…

Read More

ELLIE MPANZU KUONDOKA SIMBA SC? TIMU HII YATAJWA

WINGA wa Simba SC, Ellie Mpanzu anatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji ambao wataondoka ndani ya kikosi cha Simba SC kutokana na ofa ambazo zipo mezani. Inaelezwa kuwa Klabu ya RS Berkane Waarabu wa Morocco wamekubali uwezo wa nyota huyo katika anga la kitaifa na kimataifa jambo linalotajwa kuwaleta Tanzania kufanya mazungumzo na Simba SC. Mpanzu…

Read More

PANGA KUBWA MSIMBAZI, MAJINA SITA YAVUJA!

Klabu ya Simba imeanza rasmi mpango wa kusuka upya kikosi chake kwa msimu ujao kwa kufanya mabadiliko makubwa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Kocha Mkuu Fadlu Davids na uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanarejea kwenye ubora wa juu kitaifa na kimataifa. Kwa mujibu wa taarifa zilizovuja kutoka ndani ya klabu hiyo, tayari wachezaji sita…

Read More

CÉLESTIN ECUA AJIUNGA NA YANGA SC KUTOKA ZOMAN FC

Uongozi wa mchezaji wa kimataifa Célestin Ecua umetangaza rasmi kuwa kiungo huyo sasa ni mchezaji halali wa klabu ya Yanga SC ya Tanzania, akitokea Zoman FC. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Ecua alisaini mkataba na Yanga takriban wiki tatu zilizopita, kama ilivyoripotiwa awali, na sasa mipango yote imekamilika rasmi. “Ni kweli. Célestin alisaini mkataba na…

Read More

BEKI MPYA WA SINGIDA BLACK STARS ATOA AHADI KUBWA

BEKI mpya wa Singida Black Stars, Kelvin Kijili ameweka wazi kuwa yupo tayari kwa ajili ya kupambana kutimiza majukumu kwenye timu hiyo kitaifa na kimataifa. Kijili ametambulishwa rasmi ndani ya Singida Black Stars Julai 10 2025 ikiwa ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa ndani ya Singida Black Stars. Msimu wa 2024/25 alikuwa ndani ya kikosi cha…

Read More

YANGA YAZINDUA KAMPENI YA “TOFALI LA UBINGWA” KWA AJILI YA USAJILI WA WACHEZAJI BORA

Dar es Salaam, Tanzania – Klabu ya Yanga SC kupitia kwa Msemaji wake, Alikamwe, leo imezindua rasmi kampeni mpya iitwayo “Tofali la Ubingwa” inayolenga kuchangisha fedha kutoka kwa mashabiki na wanachama ili kusaidia timu katika usajili wa wachezaji wenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Kamwe amesema kampeni hii ni sehemu…

Read More

KIUNGO WA KAZI YANGA SC KUONDOKA

KIUNGO wa kazi ndani ya Yanga SC, Clatous Chama yupo kwenye hesabu za mwisho kujiunga na Klabu ya Zesco United ambayo nahitaji huduma yake. Julai Mosi 2024, Chama alitambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC kwa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo imegota mwisho. Inaelezwa kuwa alikuwa kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake ila kuna vipengele…

Read More

RS BERKANE WAANZA MAZUNGUMZO NA KAMBI YA ELIE MPANZU

Klabu ya RS Berkane kutoka Morocco wamefungua rasmi mazungumzo ya awali na upande wa mchezaji Elie Mpanzu, ambaye kwa sasa ni nyota wa Simba SC. Hawajatuma ofa rasmi kwa Simba SC bado, bali wanataka kwanza kukubaliana na mchezaji kuhusu maslahi binafsi kama mshahara na bonasi. Vyanzo vinaeleza kuwa RS Berkane wako tayari kulipa kifungu cha…

Read More