UJANJA NI KUCHEZA KASINO YA MTANDAONI

Chaguo ni lako kukamilisha ndoto zako kwa njia ya rahisi, kazi ya Meridianbet kasino ya mtandaoni ni kukuletea michezo mingi na sloti za kijanja ambazo zinakupa urahisi wa wewe kucheza na kushinda. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na Expanse Studios. Roulette…

Read More

CHE MALONE WA SIMBA SC MAMBO MAGUMU

BEKI wa Simba SC, Che Malone anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na mkono wa Thank You kutokana na kiwango chake kuporomoka kwa mara nyingine tena. Beki huyo ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids mara baada ya kurejea kutoka kutokuwa fiti baada ya kuumia kwenye mchezo dhidi ya Azam FC, mwendo…

Read More

ALLY SALIM KWENYE MTEGO SIMBA SC

Ally Salim kipa namba mbili wa Simba SC yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na mwendo wake kutokuwa imara. Kwenye msimu wa 2024/25 ndani ya Ligi Kuu Bara, Ally amekaa langoni kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180 alifanikiwa kukamilisha dakika hizo na hati safi. Kwenye mchezo mmoja wa CRDB Federation Cup ilikuwa…

Read More

PYRAMIDS FC MABINGWA WAPYA AFRIKA

Mamelodi Sundowns wamekuwa washindi wa pili mbele ya Pyramids FC ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Pyramids FC ya Misri ni mabingwa wapya Afrika ikipata ushindi mbele ya Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini kwenye fainali ya pili. Kwenye fainali nyota Fiston Mayele mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Juni Mosi wakati wakishinda mabao…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA SC VS SINGIDA BLACK STARS NUSU FAINALI

MEI 31 2025 Simba SC inashuka Uwanja wa Tanzanite Kwaraa kumenyana na Singida Black Stars, mwamuzi ni Ahmed Arajiga, kikosi kipo namna hii hatua ya nusu fainali:- Moussa Camara, Davids Kameta, Valentin Nouma, Hamza, Che Malon, Yusuph Kagoma, Kibu Denis, Fabrice Ngoma, Steven Mukwala, Jean Ahoua, Joshua Mutale. Wachezaji wa akiba ni Ally Salim, Hussein,…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SINGIDA BLACK STARS VS SIMBA

HIKI hapa kikosi cha Singida Black Stars dhidi ya Simba SC nusu fainali CRDB Federation Cup:-  Amos Obasogie  Ande Cyrille Gadiel Michael  Frank Assinki  Kennedy Juma  Mohamed Damaro  Edmund John  Morice Chukwu  Jonathan Sowah  Arthur Bada  Emmanuel Keyekeh Akiba Metacha Mnata Imoro Pokou Tchakei Trabi Adebayo Rupia Athuman Makoye Nashon Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi…

Read More

YANGA SC YAMTAJA SILLAH NA FEI

NYOTA wawili kutoka Azam FC ambao wanatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga SC wametajwa na bosi wa kutoka mitaa ya Jangwani. Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji ambaye ni kinara kwa utengenezaji pasi za mwisho akiwa nazo 13 na Giblil Sillah mwenye pasi mbili za mabao. Mbali na pasi mbili za mabao alizonazo Sillah…

Read More