YANGA KWENYE PRESHA KISA KUPOTEZA, KAZINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic ameweka wazi kuwa wapo kwenye presha kubwa kwa sasa kwenye mechi za kimataifa kutokana na kupoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi ya Al Hilal lakini watapambana kupata matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza kwa Yanga katika hatua ya makundi walikuwa nyumbani na baada ya dakika…

Read More

WATUMISHI WAASWA KUJIANDAA MAPEMA KABLA YA KUSTAAFU

WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…

Read More

PATA TSH 4,000,000/= KUTOKA KASINO YA MTANDAONI

Haiwezekani msimu huu wa Sikukuu Usiambulie chochote kutoka Meridianbet, ndugu jamaa na marafiki wafurahishe kwa kucheza kasino ya mtandaoni na michezo ya Bragg na ushinde mgao wa Tsh 4,000,000/= Promosheni inafanyika kwa mfumo wa mashindano kwenye michezo iliyochaguliwa iliyoandaliwa na Bragg (Gamomat, Atomic Slot Lab, Blue beri): scss Sticky Diamonds (GAM) Fruit Mania (GAM) Aura…

Read More

ONESHA UWEZO WA KUISHI KWENYE BARIDI NDANI YA SLOTI YA BOOK OF ESKIMO

Unambiwaaje ujanja ni uwezo wako tu wa kuvumilia baridi kwenye mazingira yenye ubaridi, ushindi mkubwa unapatikana kwenye sloti ya kijanja ya Book of Eskimo. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa uhalisia wa mazingira hayo unapokua mchezoni. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi za mabingwa kuhusu juhudi zao za kushinda kirahisi, moja ya kitu…

Read More

YANGA HAO KAMILI KUWAKABILI WAARABU KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika leo wanatarajiwa kuwasili Algeria kwa maandalizi ya mwisho wa mchezo wao dhid ya MC Alger unaotarajiwa kuchezwa Desemba 7 2024. Msafara wa Yanga ulikwea pipa Bongo mapema Desemba 3 na walifika Dubai ambapo walipumzika. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara wa Yanga ni Khalid Aucho, Clement Mzize,…

Read More

TUSUA MAOKOTO NA MECHI ZA JUMANNE YA LEO

Ni rahisi sana kuchukua mkwanja wako ukibashiri na Meridianbet mechi zote zinazopigwa hapa. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet. Bashiri sasa. Kule Ujerumani, DFB POKAL kupigwa leo ambapo SC Freiburg atakuwa ugenini kucheza dhidi ya Arminia Bielefeld ambao hawa wanacheza ligi daraja la 3 huku kwenye msimamo wa ligi wakiwa nafasi ya…

Read More

HUYU HAPA MKALI WA MABAO YA VICHWA

WAKATI wa usajili kwa msimu wa 2024/25 Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally aliweka wazi kuwa kuna staraika refu kuliko goli ambalo lenyewe haliruki mipira ya juu bali ni waa, mpira upo kambani. Nyota huyo ni Steven Mukwala ambaye kafunga jumla ya mabao mawili kwenye ligi na katika mabao hayo kafunga…

Read More