
HT:YANGA 3-0 MBEYA KWANZA
NDANI ya dakika 45, Yanga imefunga mabao 3-0 dhidi ya Mbeya Kwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaochezwa Uwanja wa Mkapa. Kasi walianza nayo ndani ya dakika 15 kwenye mchezo huo huku Mbeya Kwanza wakiwa kwenye mbinu ya kujilinda zaidi kwenye mchezo wa leo. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia bao la kufungulia…