YANGA BINGWA MARA 30 LIGI KUU BARA

YANGA chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara 2023/24 baada ta kufikisha pointi 71 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote Bongo. Ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibw Sugar umewapa taji hilo la 30 wakitwaa mara tatu mfululizo wakiwa ni watawala katika zama za sasa. Licha ya Mtibwa Sugar kuanza kupata…

Read More

MERIDIANBET TOBOA KIBINGWA UKIWEKA PESA NA AIRTEL MONEY

Mabingwa hawasauliki ndani ya meridianbet hasa ukiwa na Airtel Money, kwa kuthamini wateja wetu wa airtel tumewaletea promosheni itakayowapa nafasi ya kutoboa kibingwa kwenye kila muamala watakofanya kupitia airtel Money. Meridianbet tunasema ukitaka tobo basi bashiri nasi utoboe kibingwa. Ni siku tisini za kutoboa kibingwa na meridianbet hasa ukitumia airtel money, kuanzia leo hii ya…

Read More

SHINDANO LA EXPANSE KASINO USHINDI HADI MIL 400/= TZS

Promosheni ya kuvuna mahela ya Meridianbet bado inaendelea kusaka washindi, Tsh 400,000,000/= zinakusubiri wewe, huenda unajichelewesha mwenyewe kuwa tajiri. Jisajili Meridianbet kisha shiriki kwenye shindano la kutafuta washindi kupitia michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Expanse. Wakati unaposhiriki shindano hili hakikisha tu unakuwa umejiandaa kutwaa ubingwa, mafanikio huanza na nia, katika safari…

Read More

MTIBWA SUGAR KUIKABILI YANGA

MTIBWA Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu,Zuber Katwila ina kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ikiwa itapata ushindi kwenye mchezo wa leo itafikisha pointi 71 ikizidi kuwa namba moja na kufikia pointi zitakazowapa ubingwa. Itakuwa ni ubingwa wa 30 kwa Yanga ndani…

Read More

SIMBA YATAJA KILICHOWAPONZA KAITABA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa walikuwa na nafasi kubwa ya kupata matokeo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar nafasi hawakuzitumia. Ubao wa Uwanja wa Kaitaba umesoma Kagera Sugar 1-1 Simba baada ya dakika 90 ambapo Simba walianza kufunga kwenye mchezo wa leo. Ladack Chasambi alifungua akaunti ya…

Read More

SHINSA TSH MIL 400/= CHEZA EXPANSE KASINO NA MERIDIANBET

Shindano la Expanse ndani ya  Meridianbet Kasino linaelekea kupata washindi, cheza michezo ya Expanse kujiweka  kwenye nafasi ya kushinda bonasi za kasino, mizunguko ya bure na kitita cha TZS 400,000,000 Jisajili Meridianbet kushiriki Promosheni hii. Mtoa huduma wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio anashirikiana na Meridianbet kuwaletea shindano kubwa la zawadi, mgao wa…

Read More

MUDA ANA BALAA KUMBE ALIPISHANA NA SIMBA

MWAMBA Mudathir Yahya ndani ya Ligi Kuu Bara ana balaa zito kutokana na kazi anayofanya katika kutimiza majukumu yake akishirikiana na wachezaji wengine. Alipokuwa huru alikuwa akitajwa kuhitajika ndani ya kikosi cha Simba baada ya kuachana na mabosi wake Azam FC ambao walieleza kuwa walifikia hatua ya kuachana na nyota huyo kwa kuwa hakuwa tayari…

Read More

FURAHA YATAWALA SIKU YA MAMA KIGAMBONI

Kauli pekee ambayo unaweza kutumia ni kua furaha imetawala siku ya kina Mama duniani eneo la Kigamboni, Kwani mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet ndio waliofanikisha furaha hiyo kwa kutoa msaada katika eneo hilo Imekua utamaduni kwa magwiji hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakijitahidi kurudisha kwenye jamii yao na leo wamefanikiwa kutoa…

Read More

TANO BORA VITA NI KALI KWELI

VITA ndani ya tano bora ni kali msimu wa 2023/24 kwa kila timu kupambania pointi tatu ndani ya dakika 90 kufikia malengo yao. Ikumbukwe kwamba Mei 10 2024 vumbi kwenye ligi iliendelea huku Coastal Unio wakionyesha ubabe mbele ya wakali kutoka Singida, Singida Fountain Gate ambao kwa sasa makazi yao yapo Mwanza. Baada ya dakika…

Read More