
VIDEO:JEMBE AWATAJA WATAKAOTEMWA SIMBA
MWANDISHI mkongwe wa masuala ya michezo kwenye ardhi ya Bongo Saleh Jembe amewataja wachezaji Simba ambao wanaweza kuachwa
MWANDISHI mkongwe wa masuala ya michezo kwenye ardhi ya Bongo Saleh Jembe amewataja wachezaji Simba ambao wanaweza kuachwa
TAYARI mbio za kusaka ushindi kwenye Ligi Kuu Bara zinaendelea huku wachezaji wengine wakianza kwa majanga ya hapa na pale hali inayowafanya wasiwepo kwenye mechi za ushindani. Wapo wengine ambao walianza msimu lakini majukumu waliyopewa kwao yaliwapa matokeo tofauti na kile ambacho wengi walikuwa wanatarajia. Hapa tunakuletea baadhi ya mastaa ambao wameanza msimu kwa majanga…
IMESHATOKEA kwenye mchezo wa kwanza wa kuwania kufuzu Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wachezaji wa ndani, (CHAN) kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kupoteza. Hamna namna ilikuwa lazima iwe hivyo kwa sababu mpira ni mchezo wa makosa na pale ambapo wachezaji walikosea wapinzani wakatumia nafasi hiyo kuweza kutuadhabi. Matokeo huwezi kubadili…
SADIO Kanoute raia wa Mali, kiungo wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba ameingia kwenye vita nyingine na mastaa wengine wawili wa kikosi cha timu hiyo kuwania tuzo. Ni tuzo ya mchezaji bora chaguo la mashabiki ndani ya Simba inayopatikana kutokana na mashabiki wa timu hiyo ambayo imeweka kambi nchini Sudan kupiga kura. Kanoute…
UONGOZI wa Singida Big Stars umeweka wazi kuwa umepewa mualiko na Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kirafiki ikiwa ni maandalizi ya mechi zao za ligi kwa msimu wa 2022/23. Septemba 2,2022 kikosi cha Singida United kinatarajiwa kuelekea nchini Rwanda ambapo wamealikwa kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports….
KIKOSI cha Simba leo kitakuwa na kazi ya kusaka ushindi dhidi ya Al Hilal ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki wakiwa nchini Sudan. Utakuwa ni mchezo wa pili leo baada ya ule wa awali kuweza kushinda mabao 4-2 Asante Kotoko. Seleman Matola, Kocha Msaidizi wa Simba ameweka wazi kuwa mchezo wa leo ni muhimu…
BOSI wa mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya amewaonya mastaa wake kwa kuwaambia kwamba wanapaswa kuongeza umakini. Carlo Ancelotti amewaambia wachezaji wake kwamba wanapaswa kuongeza umakini kutokana na mazingira ambayo wapo kiushindani. Timu hiyo imepangwa Kunid F na timu za RB Leipzig, Shakhar Donetsk na Celtic. Kocha huyo anakumbuka kwamba msimu uliopita timu hiyo…
WAKATI Simba Queens wakitwaa Ubingwa wa Ligi ya Wanawake CAF kwa ukanda wa CECAFA na kukata tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake, kati kuna kiungo wa kazi chafu anaitwa Mariam Nasri. Tupo naye kwenye mwendo wa data nyota huyu wa Simba Queens dakika zake 90 mbele ya She Coprote katika…
INAELEZWA kuwa beki wa Simba, Joash Onyango yupo kwenye hesabu za kuibukia ndani ya kikosi cha Singida Big Stars
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amewapa majuku wachezaji wake ikiwa ni pamoja na Aziz KI, Fiston Mayele kwenye mechi zao zijazo.
IKIWA nchini Sudan kwa ajili ya mashindano maalumu waliyoalikwa na Al Hilal, mastaa 10 wa Simba wanatarajia kukosekana kwenye mechi hizo. Tyari Maki ameongoza kikosi cha Simba kucheza mchezo wa kwanza dhidi ya Asante Kotoko ambapo walishinda mabao 4-2 kesho Agosti 31 ni mchezo mwingine dhidi ya Al Hilal ambao ni wenyeji. Ni nyota 9…
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) katika kikao cha Agosti 26 ilipitia mwenendo wa matukio mbalimbali na kufanya maamuzi huku waamuzi wakifungiwa na wengine kupewa onyo. Ni Raphael Ikambi aliyekuwa mwamuzi wa kati mchezo wa Coastal Union 0-2 Yanga uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Ikambi…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha kuwa watabadilika kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 6,2022. Mchezo huo unakuwa ni kwanza kwa Yanga kucheza ikiwa nyumbani baada ya kucheza mechi mbili kwenye mechi za ugenini. Nabi amesema:”Michezo ijayo ya ligi hatutacheza sawa na ile ya ugenini kwani tutakuwa…
Ligi mbalimbali zinaendelea tena wiki hii, na meridianbettz bado kuna pesa za kutosha kukupatia wewe mshindi. EPL bado ni ya moto sana wiki hii tutashuhudia mechi nyingi zikipigwa viwanja tofauti. Jummane hii Southampton waliotoka kupoteza mechi iliyopita watakipiga na Chelsea ambao wametoka kushinda mechi iliyopita. Meridianbet wameipa nafasi kubwa ya ushindi Soton kwa odds…
MASTAA watatu wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki wametajwa kwenye kipengele cha kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month). Tuzo hizo zimerejea kwa mara nyingine tena baada ya ligi kukamilika kwa msimu wa 2021/22 na mabingwa kuwa Yanga huku Simba wakiwa ni washindi…
PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amebainisha kuwa kiungo Bernardo Silva hatajiunga na Barcelona kwa sababu mpaka sasa hakuna mbadala wake. Kocha huyo amebainisha kuwa mchezaji huyo ni kiungo wa kipekee ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England hivyo timu hiyo inakutana na kisiki kupata saini ya mwamba Silva. Nyota Silva alikuwa kwenye…
MCHEZO wa kwanza umekishwa na kila mmoja ameambulia maumivu hasa baada ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Uganda. Haikuwa siku nzuri kwa mashabiki na wachezaji pia kutokana na malengo ambayo walikuwa wanatarajia kushindwa kutimia. Uwanja wa Mkapa mbele ya mashabiki wao Stars ilikwama kuibuka na ushindi…