
SIMBA YAANZA KWA USHINDI UGENINI KIMATAIFA
MCHEZO wa kwanza wa kirafiki nchini Sudan kwenye mashindano maalumu ambayo Simba kutoka Tanzania imealikwa na Al Hilal wameibuka na ushindi wa mabao 4-2 Asante Kotoko. Kipa namba moja kwenye mchezo huo alikuwa Ally Salim ambaye alibeba mikoba ya Aishi Manula na Beno Kakolanya ambao wapo kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa…