
HAYA MAKUNDI SITA YA AFCON, TANZANIA KUNDI C
JANUARI 27 2025 nchini Morocco ilichezwa droo kwa ajili ya makundi ya Afcon 2025 ambapo timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars nayo imo na imepangwa kundi C. Haya hapa makundi:- Kundi “A” Morocco, Comoro, Zambia na Mali Kundi “B” Misri, Afrika Kusini, Angola na Zimbabwe, Angola Kundi “C” Tunisia, Nigeria, Uganda na Tanzania Kundi…