
SIMBA WATANGAZA TENDA YA MTENGENEZA JEZI MWINGINE
Klabu ya Simba imetangaza tenda ya kutafuta mwekezaji mpya kwa ajili ya kuzalisha na kusambaza jezi na bidhaa nyingine za klabu hiyo baada ya kufanya kazi na Sandaland Only one kwa kipindi kifupi, nafasi aliyoichukua kutoka kwa Fred Vunja bei. CALL FOR APPLICATION: Simba Sports Club (“the Club”) is looking for a qualified, experienced and…